Fintan20
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 213
- 556
Kwahyo miili mingine itakuwa na uume na uke?Kwa miili mingine. Hii si inaoza.
Kwahyo huko watakuwa bikira tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo miili mingine itakuwa na uume na uke?Kwa miili mingine. Hii si inaoza.
Hata hizo pipe sidhani kama sisi kina Faiza foxy tutakaotokea duniani tutapata wakutupiga mana sidhani kama.kuna shababy ataacha kulala na bikira zake 72 ahangaike na sisi tutakaofika huko tumejichokea kwa kuzaa na kulea na stress za ndoa.Wanapigwa pipe na mashababi ya peponi
Hata utende mema kiasi gani doa moja tu lina angusha ghorofa, Mohamed kumuoa Aisha akiwa bado mtoto wa miaka 7 was a big mistake.Si kweli mana bi Khadija hakuwa binti bali alikuwa mtu mzima ,na kuoa wake zaidi ya 10 haikuwa kwa tamaa zake bali ni kwa rehma za Allah
Alikuwa anaoa wajane sanasana
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Naona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenheeHuyo ni mental case,ana ulimbukeni na umagharibi,kaona dini lake halieleweki,mtu huyohuyo Mungu na mwana wa Mungu,Sasa kwenda kuabudu ng'ombe kwa wahindu kashindwa, uislam alishajaziwa chuki na dharau pale mikocheni tangu angali mdogo,ndo kabaki kuwa muhubiri wa kufuru,kila Uzi wa dini hakosi na msitari wake uleule
Kwa hiyo malipo ya wanawake wa kiislam ndiyo hayo tu basi ni kaziWatapata wanaume shababy. Wanaume wanaoweza simamia kucha masaa 24 bila kuchoka. Wanaume wenye nchi 14.
Peponi ni malipo ya kumuabudu Mungu duniani na kufuata maelekezo yake,kuacha alivyokataza,binaadam ana starehe zaidi ya ngono na pombe!?..dhambi ni duniani,peponi hakuna dhambiNaona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenhee
Haya na ww endelea kusubiri mabikra 70 wenye vichuchu Dede😂😂😂😂😂😂😂👍😂😂ndio akili yako ilipoishia, endelea kuangamia kwa kukosa maarifa,kwa kuwa umeamua kuwa mtumwa wa Lucifer na Masih Dajjal
Kwahiyo unamaanisha sisi ni mifugo ya Mungu?Code:na kwa nini utelekeze wake zako waliokuzalia watoto wazuri duniani kisha ukarukie hivyo vi demu 72?
Kwanza tambua kuwa sisi wanadamu tunazaa watoto kwa faida ya Mwenyezi Mungu na siyo faida yetu.
Zaidi ya upendo wa kihisia ndani ya mzazi na mtoto,hakuna kingine.
Ni sawa tu na mfugaji aliyefuga mbuzi,mbuzi ubeba mimba na kuzaa na kumnyonyesha mtoto wake kwa Mapenzi sana.Lakini mfugaji ndiye ufurahi zaidi kwa kuwa kwake yeye ni faida kwa kuongeza idadi ya mifugo.
Mkuu,wewe zaa tu hao watoto na furahia kuwa nao,lakini hauna faida nao.
Sisi maustadhi acha tuendelee kupiga jaramba hapa duniani tukijiandaa kwenda kuchakata mbususu za warembo huko Peponi tukiwa hatuna stress tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm nasubiri huku nikifanya Juhudi za kuiendea na Allah sio mkalifishaji wa AhadiHaya na ww endelea kusubiri mabikra 70 wenye vichuchu Dede😂😂😂😂😂😂😂👍😂😂
Tukuoneshe video ya peponi au?MKINIPA USHAHIDI WA HAO MADEMU WA KUWALALA NA HIZO POMBE ZA KUNYWA NA VIDUME VITAKAVYOWALALA DADA ZANGU HUKO MNAKOKUITA PEPONI BAS LEO HII NASLIMU....
NIPENI USHAHIDI WA KUONEKANA NA SIO MANENO.......NA SIMULIZI TU...
Mwili wako uliochoka na stress zako za ndoa zote unaziacha kaburini. Utapewa mwili mpya wenye uzuri kushinda hao mabikra 72.Hata hizo pipe sidhani kama sisi kina Faiza foxy tutakaotokea duniani tutapata wakutupiga mana sidhani kama.kuna shababy ataacha kulala na bikira zake 72 ahangaike na sisi tutakaofika huko tumejichokea kwa kuzaa na kulea na stress za ndoa.
Ni kitu kizuri kwamba tayari unakiri utukufu wa Muhammad (SAW) kwa kukiri uwepo wa mengi mazuri aliyofanya, japo unatatazika na kumuoa kwake Aisha katika umri mdogo. Sasa kabla sijakuelemisha naomba kwanza tuambie Mary alipomzaa Jesus alikuwa na miaka mingapi???Hata utende mema kiasi gani doa moja tu lina angusha ghorofa, Mohamed kumuoa Aisha akiwa bado mtoto wa miaka 7 was a big mistake.
Tumekatazwa duniani kuyafanya hayo kwa kuwa hayapo katika usafi na ubora wake, ila tumeahidiwa kuyafaidi katika ubora wake huko peponi. Mathalan, kama vile wewe ukiambiwa usile kilicho kibichi ngoja kwanza kipikwe na mbora wa wenye kupika.Naona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenhee
Mambo ya kiwaki ndio kama haya anayzungumza hyu. Sheikh mpenda totozHuyu sheikh ni hatari kama mtaani kwake kuna mabinti wabichi wa kazi hawako salama
Mohammed hawezi kuwa mtukufu😥,unakumbuka mauaji ya Khyber? Ambapo waliua wanaume wote wa jamii ya kiyahudi, watoto walikua wanakaguliwa vuzi. Akikutwa vimeanza kuota tu hata kama ni nywele moja iliku anakatwa kichwa.Ni kitu kizuri kwamba tayari unakiri utukufu wa Muhammad (SAW) kwa kukiri uwepo wa mengi mazuri aliyofanya, japo unatatazika na kumuoa kwake Aisha katika umri mdogo. Sasa kabla sijakuelemisha naomba kwanza tuambie Mary alipomzaa Jesus alikuwa na miaka mingapi???
Kumbuka tumekubaliana ukubwa unaanzania miaka 18 siku hizi! chini ya hapo ni mtoto na ni unyanyasaji wa haki za watoto, si ndio?
Nataka nipaone live sio video na hao mademu niwachek live..Tukuoneshe video ya peponi au?
Kwenye biblia kuna mstari unasema "...mtu mwema na mbaya kinywa chake hunena yaujazayo moyo wake"Mambo ya kiwaki ndio kama haya anayzungumza hyu. Sheikh mpenda totoz