Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Wanapigwa pipe na mashababi ya peponi
Hata hizo pipe sidhani kama sisi kina Faiza foxy tutakaotokea duniani tutapata wakutupiga mana sidhani kama.kuna shababy ataacha kulala na bikira zake 72 ahangaike na sisi tutakaofika huko tumejichokea kwa kuzaa na kulea na stress za ndoa.
 
Si kweli mana bi Khadija hakuwa binti bali alikuwa mtu mzima ,na kuoa wake zaidi ya 10 haikuwa kwa tamaa zake bali ni kwa rehma za Allah

Alikuwa anaoa wajane sanasana

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Hata utende mema kiasi gani doa moja tu lina angusha ghorofa, Mohamed kumuoa Aisha akiwa bado mtoto wa miaka 7 was a big mistake.
 
Huyo ni mental case,ana ulimbukeni na umagharibi,kaona dini lake halieleweki,mtu huyohuyo Mungu na mwana wa Mungu,Sasa kwenda kuabudu ng'ombe kwa wahindu kashindwa, uislam alishajaziwa chuki na dharau pale mikocheni tangu angali mdogo,ndo kabaki kuwa muhubiri wa kufuru,kila Uzi wa dini hakosi na msitari wake uleule
Naona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenhee
 
Naona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenhee
Peponi ni malipo ya kumuabudu Mungu duniani na kufuata maelekezo yake,kuacha alivyokataza,binaadam ana starehe zaidi ya ngono na pombe!?..dhambi ni duniani,peponi hakuna dhambi
 
ndio akili yako ilipoishia, endelea kuangamia kwa kukosa maarifa,kwa kuwa umeamua kuwa mtumwa wa Lucifer na Masih Dajjal
Haya na ww endelea kusubiri mabikra 70 wenye vichuchu Dede😂😂😂😂😂😂😂👍😂😂
 
Code:
na kwa nini utelekeze wake zako waliokuzalia watoto wazuri duniani kisha ukarukie hivyo vi demu 72?

Kwanza tambua kuwa sisi wanadamu tunazaa watoto kwa faida ya Mwenyezi Mungu na siyo faida yetu.
Zaidi ya upendo wa kihisia ndani ya mzazi na mtoto,hakuna kingine.

Ni sawa tu na mfugaji aliyefuga mbuzi,mbuzi ubeba mimba na kuzaa na kumnyonyesha mtoto wake kwa Mapenzi sana.Lakini mfugaji ndiye ufurahi zaidi kwa kuwa kwake yeye ni faida kwa kuongeza idadi ya mifugo.

Mkuu,wewe zaa tu hao watoto na furahia kuwa nao,lakini hauna faida nao.
Sisi maustadhi acha tuendelee kupiga jaramba hapa duniani tukijiandaa kwenda kuchakata mbususu za warembo huko Peponi tukiwa hatuna stress tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo unamaanisha sisi ni mifugo ya Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKINIPA USHAHIDI WA HAO MADEMU WA KUWALALA NA HIZO POMBE ZA KUNYWA NA VIDUME VITAKAVYOWALALA DADA ZANGU HUKO MNAKOKUITA PEPONI BAS LEO HII NASLIMU....
NIPENI USHAHIDI WA KUONEKANA NA SIO MANENO.......NA SIMULIZI TU...
Tukuoneshe video ya peponi au?
 
Hata hizo pipe sidhani kama sisi kina Faiza foxy tutakaotokea duniani tutapata wakutupiga mana sidhani kama.kuna shababy ataacha kulala na bikira zake 72 ahangaike na sisi tutakaofika huko tumejichokea kwa kuzaa na kulea na stress za ndoa.
Mwili wako uliochoka na stress zako za ndoa zote unaziacha kaburini. Utapewa mwili mpya wenye uzuri kushinda hao mabikra 72.
 
Hata mimi mhuni kuliko kunambia pepon nkaimbe vigelegele bora niende nkapewe warembo aroo raha tupu.
Mbeleni bora niwe kobaz sema ile kuswal mara 5 aroo kazi ujue nyie
 
Hata utende mema kiasi gani doa moja tu lina angusha ghorofa, Mohamed kumuoa Aisha akiwa bado mtoto wa miaka 7 was a big mistake.
Ni kitu kizuri kwamba tayari unakiri utukufu wa Muhammad (SAW) kwa kukiri uwepo wa mengi mazuri aliyofanya, japo unatatazika na kumuoa kwake Aisha katika umri mdogo. Sasa kabla sijakuelemisha naomba kwanza tuambie Mary alipomzaa Jesus alikuwa na miaka mingapi???

Kumbuka tumekubaliana ukubwa unaanzania miaka 18 siku hizi! chini ya hapo ni mtoto na ni unyanyasaji wa haki za watoto, si ndio?
 
Naona pepo yenu inatisha watu wa mnyazi huko ni pombe na ngono tu hiyo ndiyo dini inayoeleweka eenhee
Tumekatazwa duniani kuyafanya hayo kwa kuwa hayapo katika usafi na ubora wake, ila tumeahidiwa kuyafaidi katika ubora wake huko peponi. Mathalan, kama vile wewe ukiambiwa usile kilicho kibichi ngoja kwanza kipikwe na mbora wa wenye kupika.

Uislamu unaoahidi starehe ya ngono huko peponi ndo huo huo uliokataza uzinifu hapa duniani, na hakuna dini yenye sheria kali katika hayo zaidi ya uislamu. Sasa nyie kuzini duniani ni maamuzi yako tu, na ndo tunaona mpaka ushoga mnaukumbatia siku hizi! na kama utajizuia usizini duniani pia hupati chochote ukienda mbinguni, au sio? we unaenda kuimba tu huko na kusifu!

Sasa wapi kuna muongozo hapo?
 
Ni kitu kizuri kwamba tayari unakiri utukufu wa Muhammad (SAW) kwa kukiri uwepo wa mengi mazuri aliyofanya, japo unatatazika na kumuoa kwake Aisha katika umri mdogo. Sasa kabla sijakuelemisha naomba kwanza tuambie Mary alipomzaa Jesus alikuwa na miaka mingapi???

Kumbuka tumekubaliana ukubwa unaanzania miaka 18 siku hizi! chini ya hapo ni mtoto na ni unyanyasaji wa haki za watoto, si ndio?
Mohammed hawezi kuwa mtukufu😥,unakumbuka mauaji ya Khyber? Ambapo waliua wanaume wote wa jamii ya kiyahudi, watoto walikua wanakaguliwa vuzi. Akikutwa vimeanza kuota tu hata kama ni nywele moja iliku anakatwa kichwa.

Kali zaidi walimuua kiongozi wa eneo lile pamoja na mume wa Safiya. Kisha wafuasi wa Mohamed wakagawana wanawake mateka wa vita. Dihya al-Kalbi alimchukua Safiya kama zawadi yake ya vita,kisha mmoja wa wafuasi wa Mohammed akamletea taarifa kwamba Dihya amechukua demu mkali kuliko wote pale Khyber.

Mohammed akatuma ujumbe kwa Dihya kwamba amlete Binti Safiya,akampa chaguo la wanawake mateka wawili wa vita ili yeye abaki na Safiya. Dihya alikubali kwa shingo upande kisha Mohammed akamuoa Safiya siku hiyo hiyo na kumlala usiku wake.

Swali linakuja,nabii gani huyu ambaye unamwita mtakatifu anakua na roho ya kikatili na tamaa za ngono kupitiliza? Unamuoaje mwanamke ambaye umechinja Baba yake,umemtesa mumewe kwa kumchoma na moto kifua kisha ukaamrisha akatwe kichwa?

Nabii ambaye baada ya kusikia uzuri wa Safiya akaingiwa na tamaa na kumnyang'anya mfuasi wake demu ? Nabii ambaye Hana huruma,haya wala binadamu,nawaza tu maumivu na uchungu aliokuwa nao Safiya wakati anapandwa na Mohamed.

Pia Mohammed alivunja sheria yenu inayomtaka mwanamke aliyeachika kukaa miezi mitatu kabla ya kumvulia nguo mume mwingine. Mtume wenu sio mfano wa kuigwa na ndiyo maana hata pepo yenu imejaa fantasy zake za ngono tu. Kusuhu umri wa Mary Mimi sijui labda uniambie wewe,pia usijaribu kuhalalisha makosa ya Mohammed kwa kutafuta makosa ya upande wa pili kwa maana huta yapata.
 
Vyumba vya kulala kwa wake zetu 72 vitakuwepo au na huko tutaanza ujenzi?
 
itabidi nikifa wa nizike na mkongo kama kilo 2 ivi🤔🤔🤔.
😂😂😂😂
 
Mambo ya kiwaki ndio kama haya anayzungumza hyu. Sheikh mpenda totoz
Kwenye biblia kuna mstari unasema "...mtu mwema na mbaya kinywa chake hunena yaujazayo moyo wake"
 
Back
Top Bottom