Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!

we endelea kumdanganya..
 

Unajionaje kuandika maneno hayo yote kupamba kisichopambika? Pole sana. Najua ukweli unaujua, huku grounds hali ni mbaya. Watu hawana uhakika wa maisha. Kuyaamini hayo maneno yako, ni kwa wale wanufaika wa upigaji, wenye vitengo. Sie wa kawaida tunakuona kama akilizo haziko Sawa
 
LUKU From Unit 28 hadi 23
Mafuta from 1,800 hadi 3,200
USD - low
TRA Kodi za makadirio from 2.8 - 3.5%
TOZO
Kodi za Mabango ya kwenye maduka 1FT - 10k

Gharama za maisha i general zimepanda

Hata mimi sasa sishawishiki [emoji777][emoji777][emoji777]
 

Ulichelewa sana kufanya maamuzi!
 

Huyo jamaa ni court jester wa Rais Samia!
 
Umenena kweli,mimi si mfuasi wa maswala ya siasa ila samia hana ushawishi kbsa...ccm bye bye na chadema watumie hili gape tofaut na hivo itawachkua muda mref sana kuongoza nchi..na wakfankiwa kuchkua mamlaka ya juu wawasklze sana wananch wenye vipato vya chini kama alivyofanya JPM,waktangulza maslah na uchu wa mali ccm wanarud kama kawa.
 
Usijidanganye, huyo mama hapendwi kabisa na anachukiwa sana! na hata kwenye ulimwengu wa roho anaonekana kutolewa kwenye kiti tayari hata angecheza karata gani huyo siyo kiongozi Tena! Maneno haya ni kweli na thabiti.
 
Kama jpm alishinda ule uchaguzi pamoja na harakati zake za kibandidu sioni upenyo wa samia kushindwa
 
labda awe rais wa tff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…