Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!

Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!

Kama ni hivyo basi ni bora walivyokutema, kwa hoja hii uliyoleta hapa ni dhahiri kuwa si kwamba hutoshi tu lakini pia hujielewi.....samahani lkn maana umesema we ni mkongwe.
Halafu, wakongwe wenyewe wa kuwauliza humu si ndo hao hao walio'like' na kussuport mada yako; yaani kina erythrocyte & co? Ndo tuwaulize hao na unataka utuambie kuwa uko serious?!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu, haina tatizo kama unavyosema kuwa mimi sijielewi!

Wewe endelea tu kusoma mada zangu!
 
Ccm haishindi kwa kura wala haitagemei maskini



Yanamwisho hayo na mwisho hauko mbali.

Mwenyezi Mungu ataingilia kati ajuavyo mwenyewe akichoka kuchukizwa na Udhalimu huo.

Tusijuvunie udhalimu tumuogope Mwenyezi Mungu.

Mwenyezi Mungu anapendezwa na haki .
 
DP WORLD ni mchongo wa kina Kinana na Makamba kumvurugia SSH kwa wananchi, na wamefanikiwa ikiwa wataendelea kushupaza shingo!
toa hapa uongo wako kwa hiyo huyo samia wenu hana hata akili ya kufanya maamuzi sahihi......huyu mama hatufai watz wanamuona kwa jicho baya sana la ubaya wanamuombea mabaya yampate daily
 
Ilinichukua miezi mitano kufahamu kuwa Rais Samia hana maisha marefu ya kisiasa kwa sababu hana karama, kipaji na ujuzi wa uongozi.

Unaweza kuukataa ukweli lakini hata kama ukiukataa hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.

Mwl. Nyerere aliwahi kusema, “Ukweli una tabia moja nzuri sana, haujali mkubwa wala mdogo, hujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa. Ukiniona nataka kupiga teke jiwe kwa kuwa unafikiri kuwa ni dongo au mpira, natumaini utanionya. Lakini nikilipuuza onyo lako kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nikalipiga teke, basi litanivunja dole japo ningekuwa nani. Ukweli haupendi kupuuzwapuuzwa”.

Rais Samia kwa sasa hakubaliki nchini lakini kibaya zaidi hakubaliki ndani ya kundi kubwa la watu wenye maisha ya chini ambao ni wengi nchini na hutumiwa kama “kete” ya CCM katika chaguzi.

Rais Samia amebandika mabango ya kujitangaza nchi nzima lakini kinyume chake watu wakiyaona wanaanza kuyatukana!

Sakata la kuwapa DP-World bandari zetu limekuwa ndio msumari wa mwisho katika kaburi lake la kisiasa baada ya kuwabambikia wananchi tozo mbalimbali.

Ndani ya CCM wameanza kukubali kuwa hali ni mbaya sana mpaka wameamua kuanza ziara za “kuwatongoza” wananchi hasa wa kupato cha chini huku wakisema eti Rais hawezi “kuiuza” nchi.

Katika hali ya kutapatapa wameanza kutumia mbinu ya udini ili kugusa hisia za imani ya dini angalau kundi la watu lenye mlengo wa dini yake lianze kumuunga mkono hasa kundi la watu wa kipato cha chini ambalo halitaki hata kumsikia.

Kinachowashitua zaidi ndani ya CCM ni kuona kuwa juhudi zote za kuwaleta ndani ya utawala wake wapinzani hasa CHADEMA katika “dhana ya kujenga umoja” haijazaa matunda endelevu na badala yake wananchi wa kipato cha chini hawataki hata kumsikiliza achilia mbali kumuona.

Ukiwauliza wananchi wengi kama wanakumbukumbu ya jambo lolote ambalo Rais Samia amelifanya na hawawezi kumsahau watakuambia ni tozo na kugawa bure raslimali zetu za Taifa.

Hotuba zake husahaulika pindi anapomaliza kutoa hotuba. Nadhani hata mawaziri wake ukiwauliza baada ya hotuba yake wawawezi kukumbuka alichokisema! Garbage in, garbage out.

Mikutano yake ya barabarani kwa sasa inakuwa na magari mengi zaidi ya wananchi ukiondoa wale wanaovalishwa nguo za CCM!

Historia nchini huonyesha kuwa Rais huanza kuchokwa na kuchukiwa katika kipindi cha pili cha utawala wake lakini Rais Samia imemchukua miaka miwili tu kuchukiwa na wananchi wengi.

Kwa jinsi hali ilivyo mbaya kuna uwezekano mkubwa Rais Samia akawa ni Rais wa kipindi kimoja katika historia ya Tanzania kwa sababu katika nchi yoyote wanaoleta mabadiliko ni watu wa kipato cha chini ambao kwa sasa hawataki hata kumsikia.
umeandika ukweli, nimethibitisha leo hapa mwanza. ccm inakufa kifo kibaya sana. wanaoisemea hawana uwezo wowote, wala ushawishi kabsa
 
Umeniacha “njiapanda”! Fafanua zaidi.
Ahaa, leo 30.07.2023 ndiyo nimeona hili la bandiko lako la jana. Ulipotea sana ila tunashukuru wewe ni mzima. Mkuu nadhani sasa unaanza kuona kitu tulichokuwa tunapiga kelele wakati mkiwa ''mnampelekesha'' Magufuli kipambe. Trust me, Samia ni matunda ya mche aliopanda Magufuli. Mimi hili nililiona linakuja japo sikuwa na uhakika. Samia sisi wengine tulishajua uwezo wake tangu akiwa makamu na ndiyo maana tulikuwa tunapigia kelele kuwe na mabadiliko ya mfumo ili tuwe na nchi isiyotegemea utashi wa rais. Haya sasa, it is too late. Kwa hii nchi yetu naona tukisubiri kudra za Mungu na tusiwe na cha kufanya. Unakumbuka Magufuli alishaweka blue print ya kushinda urais? Unajua watanzania walivyo waoga hata wakiibiwa kura? Hili la Samia kuchukiwa nakubaliana na wewe. Mwezi uliopita nilikuwa kijijini nikakuta kina mama waliokuwa CCM damu wanamtukana mno. Hawataki hata kumsikia. Tatizo ni kuwa hata akikataliwa kwa kura, si atafanya kama alivyofundishwa na Magufuli? Mimi naona pamoja na udhaifu wake, bado bado yuko sana.
 
usiku huu badala ulale ufikirie namna ya kupunguza umaskini wako unahangaika na mapumbavu yako, huyo mtu ameshafanikiwa na ukoo wake wote we ni nyau tu mdogo, ataongoza nchi yetu mpaka 2030. Sijui kwanini ni mpumbavu hivyo, unawezaje kujihangaisha na mtu km rais tena kupitia CCM, chama dola mpaka kina Mgunda wamo kule. Mtakufa tu sonona

Wewe mbona hujalala usiku huu?

Badala ulalu ufikirie namna ya kupunguza umasikini wako unahangaika na maandiko yangu!
 
Back
Top Bottom