Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Elimu, elimu, elimu (Lowassa,2015)Tatizo sio CCM tatizo ni wananchi wenyewe. kuna ujinga na ushamba, imagine jeshi linakuja kwa kuchelewa, wanatembea kama wanaenda kwenye harusi, kisha wajinga waashangilia et "jeshi, jeshi jeshi" huo ni ujinga zaidi
This is hectic!😭😭😭😭kuna watu wanaendelea kukata roho chini ya kifusiView attachment 3153726
Hata nyie chadema mngeandamana ghafra kama ajali response isingekuepo kabisa tatizo mlipinga mdomo sana vitendo sifuriTukio la maafa limetokea katikati ya jiji eneo lenye watu wengi saa 3 asubuhi, lakini vyombo vyote vya uokozi vimechukua masaa kujitokeza kuokoa watu waliochini hadi Raia wasio na dhana za uokozi wanatumia mikono mitupu kuokoa watu hii ni aibu kwa serikali hii.
Askari hawaonekani kama wale wa maandamano ya Chadema kwa mamia bali mmoja mmoja na kitambi chake, huu ni wendawazimu kabisa yaani kuyafanya maandamano ni ya hatari kuliko maafa kama kudondoka jengo na kufukia watu?
Pengine Mungu anatuonyesha ubovu wa serikali yetu tuliyokubali iwe madarakani huku pamoja na kutupatia "UFAHAMU" bado tunashangilia "mitano tena".
Kwa kweli kuipigia kura CCM tena tunastahili kupimwa akili kama ziko sawa.
View attachment 3153700
Uongozi sio pipi kwamba kila mtu ajaribu kulamba.Serikali iombe msaada kwa mataifa ya nje yenye uzoefu na vifaa vya uokoaji.
Vinginevyo tutapoteza wengi hapo!
very much politicized, upinzani wanaichukulia hii ni fursa kwao agaist CCM😎Hata nyie chadema mmeandamana ghafra kama ajali response isingekuepo kabisa tatizo mlipinga mdomo sana vitendo sifuri
Wenzao wanapigania uhai wao wanataka kujinufaisha kisiasavery much politicized, upinzani wanaichukulia hii ni fursa kwao agaist CCM😎
MTAKE MSITAKE CCM INSHINDA KWA 150%Tukio la maafa limetokea katikati ya jiji eneo lenye watu wengi saa 3 asubuhi, lakini vyombo vyote vya uokozi vimechukua masaa kujitokeza kuokoa watu waliochini hadi Raia wasio na dhana za uokozi wanatumia mikono mitupu kuokoa watu hii ni aibu kwa serikali hii.
Askari hawaonekani kama wale wa maandamano ya Chadema kwa mamia bali mmoja mmoja na kitambi chake, huu ni wendawazimu kabisa yaani kuyafanya maandamano ni ya hatari kuliko maafa kama kudondoka jengo na kufukia watu?
Pengine Mungu anatuonyesha ubovu wa serikali yetu tuliyokubali iwe madarakani huku pamoja na kutupatia "UFAHAMU" bado tunashangilia "mitano tena".
Kwa kweli kuipigia kura CCM tena tunastahili kupimwa akili kama ziko sawa.
View attachment 3153700
Yy anafikir maafa yakiyokea vikosi vimefika hile ni order au mission inaratibiwa nduguAndiko lako linaonyesha huna utu na Utanzania. Badilika!🙏🙏🙏
Maafa hayana interejensia ambayo mnasema jeshi lenu linayo?Unaleta siasa kwenye mambo ya maafa, maandamano yanaweza kugeuka na kuwa kikundi cha mapinduzi yakapindua serikali. Hivyo basi ni lazima yadhibitiwa mapema kwa nguvu zote, huwezi kufananisha na maafa yanayotokea ghafla bila kupangwa na watu
Kuiondoa CCM madarakaniUnashauri nini hiyo kadhia isijirudie!
Kwa ulaya ni mashine gani ingetumika kupakuwa au kupunguza mizigo ili kuwafikia waliopo ndani chini?Vifaa vya uokozi
View attachment 3153728
IT IS NEVER FEASIBLE IDEAKuiondoa CCM madarakani
Kwakweli !Sishabikii chama chochote. Wote nawaona hawana akili
ishu ni kwamba unatoa povu kwa ccm kana kwamba ni ndiyo iliyoleta maafa.Tumia akili wewe! Ungefika eneo la tukio pengine ungepata hasira kuliko mimi
Excavators ! Cranes 🏗 bulldozer etc etcKwa ulaya ni mashine gani ingetumika kupakuwa au kupunguza mizigo ili kuwafikia waliopo ndani chini?