Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Mwanangu wewe umejuaje kama napanda japo ni kweli upo sahihi napanda dala bado nipe kazi Sasa mkubwa kama upo dsm
 
Hilo pigo la kimaisha na kimapenzi bado halijakamilika kwa huyo mtoto wa kichaga. Wazazi wamekuambia ukweli utamtesa mtoto wa watu. Pigo la kimaisha na la kimapenzi litakamilika ukilazimisha kumuoa ukafanikiwa. Lazima upate maumivu unayosikia sasa kwa speed ya kindege cha aviator.

Kwa mchaga jitafute kwanza tofauti na hapo utakuja kuto-wambe ndani kwako.
 
Ni kwel, better now nimwache aende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…