Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Vyama vipo 19 lakini kutwa inatajwa CHADEMA pekee
Umeisema kwa sababu ulisahau kuifuta moyoni mwako.Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Umenena kweli mkuu,ndio maana Mimi nashauri hawa watu Wawa ache wafanye tumaandamano twao Ili wajichore vizuri kwa wananchi.Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Hata viongozi wao ni kutukana tu kimekuwa chama cha matusi. Wataanza kutukanana wao wenyewe wakimaliza kutukana wengine.Tegemea matusi na sio nguvu za hoja.Wamekuwa mahiri sana kwenye kutukana hilo halipingiki.Second to none.
Ipo kwenye moyo wa mama yakoNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda [emoji1787]najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Umeonaeeeeeee ?KAZI ni kipimo cha utu
Wachana na kibaka wa LumumbaPumbavu!
Inapotezaje sasa mvuto huku kila leo mkiinadi mitandaoni??
Mbona kama wajinga wanaongezeka kwa kasi?
Umetisha sana mkuuLabda moyo wa mama yako
Pumbafuuuu wewe lumumbaTegemea matusi na sio nguvu za hoja.Wamekuwa mahiri sana kwenye kutukana hilo halipingiki.Second to none.
Umemaliza kaziMbona hata mumeo amepoteza mvuto lakini bado upo naye mkuu?
And here you're talkin about them... hakina mvuto na bado kinawakosesha usingiziNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Wao wakiona wamesahulika kutajwatsjwa huja na hizi mambo ya maandamanoNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda [emoji1787]najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Hicho chama kingekua kimepoteza mvuta hata hii comment yako isingekuwepo.Tegemea matusi na sio nguvu za hoja.Wamekuwa mahiri sana kwenye kutukana hilo halipingiki.Second to none.
Maandamano yakifanywa na Chadema ni fujo, lakini yakifanywa na CCM kumpongeza Samia kwa kuzuia maandamano ya Chadema hiyo ni demokrasia. Mpuuzi mmoja anakwambia Chadema imepoteza mvuto wakati ni chama pekee tishio kwa chama cha mafisadi.Sasa mnapanick nini .....!!? Tuacheni tufanye Maandamano yetu muone.