Sikuwa nategemea kingine kwani sera zenu ni matusi na kejeli.Zilianza kwa viongozi wenu na nyie mnaendelea nazo hamna cha ajabu.Aluta Continua genge la matusi na kejeli.Pumbafuuuu wewe lumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwa nategemea kingine kwani sera zenu ni matusi na kejeli.Zilianza kwa viongozi wenu na nyie mnaendelea nazo hamna cha ajabu.Aluta Continua genge la matusi na kejeli.Pumbafuuuu wewe lumumba
Twende nao hivyo hivyoUmemaliza kazi
Usijifanye chizi wakati mungu amekupa akili itumie vizuri akili Ni neema unasemaje chadema imepoteza mvuto wakati Kila saa unaitaja chadema kama mvuto Haina mbona utaji chama chako ccm chama kilichopoteza mvuto hata kama kikitoa tamko watu hawashughuliki nacho kakini hio chadema unaosema imepoteza mvuto ikiongea kidogo viongozi wa chama chako wanapagawa wanatoa matamko mbalimblia mara tutafanya usafi masaa 24 halafu uzuri wake unajua kama unajitoa akili ndio maana ulivyo andika utumbo wako uka anza kujihami ooh mtaa anza kutukanaNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda [emoji1787]najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
mkuu hapa umeongea ukweli mtupu, najua manyumbu ndio yananufaika na watakuja kukutukana hapa soonNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Unapoteza muda.........Chadema ni IDF ccm ni Hamas.Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
HaaaHakipo kwenye moyo wako wewe na wa mumeo.
Sio kutusemea wote sisi wengine akili zetu zinafanya kazi. Hatupendi uchawa.
WACHA WEEEEEEEE.......WEWE CCM IPO MOYONI MWAKO?????????????????????Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Yaani umaarufu wa chama unapanda kwa matusi?Sera na kutatua matatizo ya watanzania na kushiriki kwenye mikakati ya kutatua matatizo ndio inafanya chama kiaminike.Sera za matusi na kukosoa tu bila kuleta solution zimepitwa na wakati.Hicho chama kingekua kimepoteza mvuta hata hii comment yako isingekuwepo.
Ukiona watu wanasema sana ndo umaarufu unapanda.
Hizi platform zinapaisha vyama.
Ukipita huku mtandaoni maswala yanayohusu vyama basi 80% ni kuhusu chadema(aidha kwa uzuri au ubaya)
Waliondoka kupigania ufisadi, rushwa kuuza nchi.Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Ndio kwanza CDM wanapendwa na wanaonekana mkombozi pekee wa watanzania, wengine wote hawapo kabisa CUF, ACT, UDP, hata havijulikani tena kama kuna vyama kama hivyo! Peopleeeeees!...Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Hicho ccm hana mbwa hakithamini..wanaishi kwa kutegemea policeccm na NEC kama ccm wa kiume...wekeni tume huru muone kama hamjasahulikaNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda [emoji1787]najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Wewe moyo wangu waujua?Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda [emoji1787]najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
matusi yametukanwa lini.Yaani umaarufu wa chama unapanda kwa matusi?Sera na kutatua matatizo ya watanzania na kushiriki kwenye mikakati ya kutatua matatizo ndio inafanya chama kiaminike.Sera za matusi na kukosoa tu bila kuleta solution zimepitwa na wakati.
Ukizoea matusi unaona ni kawaida tu.matusi yametukanwa lini.
ukichangia tu hapa unaongeza point kwa chadema.
Nakubaliana na wewe.Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Hakuna chama chochote chenye mvuto now, vyote vimechokwa, si kile kilicho madarakani wala walio nje ya mfumoNi ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.