Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mimi sijapinga madai yake na hivyo sina sababu ya kumshitaki.Hata wewe uliyenunu kitabu chake unaweza mshitaki vilevile kwa kumuomba aweke ushahidi usio na shaka mahakamani ili kitabu chake kipate uhalali wake.
Kabendera hata angeandika jpm aliwahi kunya kwenye mtungi wa maji bado mngeamini.Akili zenu ni ndogo sana.
Wanaopinga madai yake ndio wenye wajibu wa kumshitaki.
Mshitakini mahakamani jamani, acheni kulialia mitandaoni.