Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

Uchumi wa US unaenda kucrush Trump akiwa rais, stocks markets zitacrush pia, infact jamaa ataongoza US kwenye mazingira magumu sana, yes upo sahihi US digital currency itakuja pia enzi ya Trump.
 
Biden ameshinikizwa atoke sababu ameshindwa kuipa nguvu israel dhidi ya hamas, pia USA inaelekea kushindwa katika vita na URUSI Kupitia UKRAINE !
 
Biden ameshinikizwa atoke sababu ameshindwa kuipa nguvu israel dhidi ya hamas, pia USA inaelekea kushindwa katika vita na URUSI Kupitia UKRAINE !
 
Utamaduni wa wenzetu ni tofauti sana, wenzetu kupika siyo kazi ya mwanamke tu ni ya wote!

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
jmushi1 Kichuguu ...
DR Mambo Jambo

Uchaguzi mgumu huu.
 
Chukua MAUA Umedadavua vizuri sana!
 
Vikatuni vya utabiri vina nguvu gani ya kuamua nani awe rais wa USA?
Yaani watu waache kupiga kura kisa wanafuatilia vikatuni?

Mbona vikatuni vya Kipanya hapa Tz huwa vinatabiri fresh tu, mbona hatuvipi airtime?
 
Katika kura za jumla za uchaguzi, Hillary Clinton alimzidi Trump kwa mamilioni ya kura, hivyo kwa lugha rahisi, wanawake wengi walimpigia kura Hillary Clinton. Bahati mbaya sana, sheria za uchaguzi za USA mshindi hapatikani kwa wingi wa kura za ujumla!
 
Hakuna wakati Marekani itakuja kuongozwa na Mwanamke!!!

Kama alishindwa Hilary Clinton... Huyu Harris ndo hafiki hata robo....
Nani kasema Marekani haiwezi kuongozwa na Mwanamke?
Kama huku Afrika (ambapo mfumo dume umeota mizizi mirefu) kumekuwepo marais wanawake, nini kizuie USA isiwe na rais mwanamke?
 
Hapo kwenye uzee nakupinga mana pamoja na hvy bado anaweza kufanya kazi zake vzr tofauti na Biden
 
Hapo kwenye uzee nakupinga mana pamoja na hvy bado anaweza kufanya kazi zake vzr tofauti na Biden
Kumbuka tu, kwa sasa Trump ana miaka 78 (miaka mitatu tu pungufu ya umri wa Biden (miaka 81)), na ikitokea akafanikiwa kuwa mshindi maana yake muhula wake wa miaka minne utaisha akiwa na miaka 82, yaani mwaka mmoja zaidi ya umri wa Biden wa sasa wa miaka 81. Huwezi kumtenganisha Trump na uzee. Tangu Biden ajitoe, hoja ya uzee imegeuka kuwa mwiba dhidi ya Republican, hawataki tena kuizungumzia sana. Hii hoja ilianza tangu uchaguzi uliopita wakati Biden akiwa na miaka 77.
 
Moja ya jambo linamporomosha vibaya Trump mbele ya wamarekani wengi ni suala la Siasa za kimataifa. Trump haeleweki na aaminiki. Ukaribu wake na Russia, kujipendekeza kwake kwa siku za karibuni na North Korea na Kujiweka kwake karibu na siasa za Netanyau, ni mambo yanayomtafuna kwa kasi.

Nadhani huu mwiba kwa kuwa amegoma kuuchomoa tangu kitambo basi huenda akaung'ang'ania mpaka mwisho.
 
Dunia ya sasa inamtaka mwanamke awe kiongozi kwenye maeneo yote. Zama za wanaume kutawaliwa zimekaribia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…