Watanzania tumekuwa soft sana, hawa jamaa wa tanesco ni wezi wakubwa, inawezekanaje kwa mfano mini niko hapa eneo kata moja na mtu ambaye yeye analipia umeme chini zaidi kuliko mimi ? yaani huwa naniona mimi kama lofa fulani, mimi nikununua umeme wa shilingi elfu 10 nautumia wiki 2, yeye akinunua umeme wa shs 5000 anautumia mwezi mmoja na nusu, na ni juzi tu nimenunua umeme wa shs 10000 nikapata units 25 sio 28 kama ilivyokuwa siku za nyuma, maana yake ni kwamba wameongeza charges/unit bila hata kutoa taarifa, tungeunganisha nguvu zetu tukawagomea hawa tanesco wabaki na umeme wao, bila kutumia mishumaa,