Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Kuna Nyumba ya mzazi wangu Ameanza kutumia Umeme Mwaka jana
Mita 24238706220
Mudawote huo tokea kaunganishiwa Umeme hajafikisha 70 Unit yaani anamiezi 6 Unit 60 Tukijaribu kuomba Awekwe kwenye matumizi yachini Wanasema Huduma hiyo Ilisha Ondolewa
Yupo eneo gani? Namba ya mita tafadhali
 
Mimu tangu 2016 nauziwa unit kwa bei zaid ya 200 wakat matumiz yangu ni chin ya unit 30 kwa mwezi mf nikinunua umeme wa shiling 1000 napata unit 2.8 wakat huo jiran kwa hiyohiyo 1000 anapata zaid ya unit 7 inakuaje hapo???
Fanya Masahihisho Ununue Umeme Wa Tshs 1000 Upate Units 2.8 Naamini Ni Units 28
 
Tafadhali fika ofisi za eneo lako kwa taratibu na masharti kama utaonekana unakidhi utawekwa
Pamoja Na Kusisitiza Tufike Ofisi Zenu Huwa Wanakataa
Wanakwambia Huduma Hiyo Haipo Sasa Hivi
Nimekwenda Mno Huwezi Kupata Msaada
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Kama unapenda low tariff nenda Zanzibar. Ila kwa bara tunalipa kwa ziada kule zenji..
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Kaskazini mpaka vijiji waliondolewa tariff zero. Wakati wa Magu. Kwahiyo tuvumilieni.
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Kwa hiyo kama amejenga Nyumba eneo la viwanda atawekwa tariff za viwanda?

Ingekuwa vyema msiangalie Eneo, Muangalie Matumizi.
 
Kwa hiyo kama amejenga Nyumba eneo la viwanda atawekwa tariff za viwanda?

Ingekuwa vyema msiangalie Eneo, Muangalie Matumizi.
Tafadhali rejea maelezo yetu hapo juu tarifa za nyumbani ni D1 na T1 viwanda vina tarif zake yaani T2 na T3
 
Sio kupendelewa, tunaokba kukuelimisha kuwa kuna tarif mbili za majumbani

Tarif D1 ni na watu wa vijijini, matumizi ya nyumbani na wasiozidi wastanu wa matumizi ya unit 75 kwa miezi mitatu mfulizo

Tarif T1 ni ya nyumbani pia ambayo matjmizi yake yakuwa zaidi ya unit 75 hadi 7500 kwa mwezi, kundi hili linahusisha makazi, mabango, mashina za kusaga nk
Nina miaka miwili tangu nijaze form ya maombi ila sijapata hiyo huduma. Matumizi yangu tangu nifunge umeme 2018 mpaka Leo sijawahi kuvuka hiyo limit.
Meter.
43013519160
 
Nina miaka miwili tangu nijaze form ya maombi ila sijapata hiyo huduma. Matumizi yangu tangu nifunge umeme 2018 mpaka Leo sijawahi kuvuka hiyo limit.
Meter.
43013519160
Haa Haa
Huduma Hiyo Imejaa Ujanjaujanja Ghiriba, Fitna Zilongwa Mbali, Zitendwa Mbali
 
Back
Top Bottom