Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swaliMteja anapaswa kuandika barua kwa kuwa matumizi hayo yamekusudiwa kwa watu wa kipato cha chini hivyo unapoanesha nia ya kuyahitaji lazima uombe tufanye uhakiki na kujiridhisha kama unakidhi vigezo
Basi wana mambo yao. Ninachojua huwa wanatoa form lakini mpaka wakurekebishie wanachukua hata mwezi au miezi miwili, lakini ukiwapa elfu 20 au 15 yaani rushwa wanarekebisha haziishi hata siku mbili.Hawawezi kukupa hizo fomu,
Nilienda nikaambiwa kwa sasa hatutoi,mpaka tutakaporuhusiwa
Hivi tanesco jf bado wapo humu
Au waziri kawapiga chini
Ova
Nenda kwenye uzi waoHivi tanesco jf bado wapo humu
Au waziri kawapiga chini
Ova
Karibu tukuhudumieHivi tanesco jf bado wapo humu
Au waziri kawapiga chini
Ova
Endelea kufurahia maisha na UmemeAh ok kumbe mko
Safi sana....
Ova
Mnafanya kazi nzuri humu kutoa hudumaEndelea kufurahia maisha na Umeme
Tunayaangaza Maisha Yako
Tafadhali tujulishe changamoto ni nini? Namba ya simu uliyoandika kwente maombi yako kwa hatua zaidimimi tanesco wananiudhi wale ma sarveiy utafikiri mungu mtu yupo boss wao mmoja ilala makao makuu pale samora ukiomba mita mbili anakukatalia akupa moja tu anakuambia nyingine utasubiri sijui usubiri mpaka yesu arudi tena
ahahahaaa, tanesco wamekwambia furahia maisha Mr mrangiAh ok kumbe mko
Safi sana....
Ova
Mnavyo Jibu kama Mpo Na nia hiyo kweli Yakuangaza hayo maisha ya MtanzaniaEndelea kufurahia maisha na Umeme
Tunayaangaza Maisha Yako
Je unazungumzia eneo gani? Wilaya na namba ya simu tafadhaliMnavyo Jibu kama Mpo Na nia hiyo kweli Yakuangaza hayo maisha ya Mtanzania
kumbe kuyaweka Kiza tu
umemegani Kawingu kidogo Kwaheli
Sio kupendelewa, tunaokba kukuelimisha kuwa kuna tarif mbili za majumbaniNIMESHTUKA KWELI HIVI KUMBE KULIKUWA NA WATANZANIA WANAPENDELEWA NAMNA HII?, YAANI 1000/- WANAPATA UNITS 8.4 NI WAPI HUKO WAKUU?
Kuna Nyumba ya mzazi wangu Ameanza kutumia Umeme Mwaka janaSio kupendelewa, tunaokba kukuelimisha kuwa kuna tarif mbili za majumbani
Tarif D1 ni na watu wa vijijini, matumizi ya nyumbani na wasiozidi wastanu wa matumizi ya unit 75 kwa miezi mitatu mfulizo
Tarif T1 ni ya nyumbani pia ambayo matjmizi yake yakuwa zaidi ya unit 75 hadi 7500 kwa mwezi, kundi hili linahusisha makazi, mabango, mashina za kusaga nk