Kwa sasa ni nadra sana kuwakuta hawa viongozi wapo Dodoma Makao Makuu, wote imekuwa ni njia moja Dar

Kwa sasa ni nadra sana kuwakuta hawa viongozi wapo Dodoma Makao Makuu, wote imekuwa ni njia moja Dar

Yaani kwa sasa ni nadra sana kuwakuta hawa viongozi wapo Dodoma makao makuu - wote imekuwa ni njia moko Dar - Magari yenye bendera za Mawaziri na Watendaji wengine wa Serikali wamerudi Dar kwa kasi kubwa mno. Yaani haipiti saa tatu ukiwa Morogoro kila siku unaona gari la kiongizo liko spidi kutoka au kwenda Dar na Dodoma. Matrafiki siku hizi hawana hata mpango wa kuyasimamisha tena. Wamechoka wanaangalia tu.

Gharama hizo za magari kukimbia njia ya Dar Dom ninaona ni kuwa mno kiasi kwamba angekuwepo Mwendazake isingekuwa hivi - wengine hadi juzi wamediriki kuamua kurudisha Ofisi zao Dar - Waziri yule kaitoa Ofisi Moro kuipeleka Dar badala ya Dodoma. Ninamkumbuka sana Mwendazake jamani!

Hivi leo hii tukiitisha roll call ya Viongozi Dodoma ni Mawaziri na Wanaibu Waziri na Makatibu Wakuu wangapi watakuwepo Dodoma leo?
Kumbuka juzi tu karibu wote walikuwa Dar kwa Sabasaba - leo Ijumaa tayari wanne wamepanga ndege na kuna magari zaidi ya 6 yanaelekea Dar now bila hata sababu yeyote. Pumzika kwa Amani Mwendazake! Tumekumiss sana sana!
Hizo safari zinaligharimu taifa pesa nyingi sana. Viongozi wengi wana ofisi na makazi sehemu mbili, Dar na Dodoma. Na ubadhirifu wa kujilipa posho za safari upo, haijulikani ofisi kuu ni ipi. Na kila makazi yana huduma zote, japo za Dodoma hukaliwa kwa nadra.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaodai katiba mpyaa...mnashindwa kujua shida iko wap..hata ukiwa na katiba bora kama nn..bila kuwa na watu wanaoiheshimu ni kaz bure..katiba haijindeshi yenyewwwe..wapo watu wanaisimamia hiyo katiba..kama hao watu ni hovyoo baas wataikanyagaa tu hiyo katibaaa...hivyoo kinatakiwa ni mind set za hao watu zibadilike hapo ndipo katiba itasaidia..la sivyo ni kutwanga maji kwenye kinu..
Hii iliyopo tu inasiginwaa mchana kutwaa..
Inasiginwa kwa sababu ya kujaa mianya ya kusiginwa, eg kuna vipengele vya kuwapa viongozi umungu mtu, haajibishwi na yeyote.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaodai katiba mpyaa...mnashindwa kujua shida iko wap..hata ukiwa na katiba bora kama nn..bila kuwa na watu wanaoiheshimu ni kaz bure..katiba haijindeshi yenyewwwe..wapo watu wanaisimamia hiyo katiba..kama hao watu ni hovyoo baas wataikanyagaa tu hiyo katibaaa...hivyoo kinatakiwa ni mind set za hao watu zibadilike hapo ndipo katiba itasaidia..la sivyo ni kutwanga maji kwenye kinu..
Hii iliyopo tu inasiginwaa mchana kutwaa..

Nikakubaliana na wewe.
Kwa kiwango hiki hiki ambacho katiba mbovu inakanyagwa na kuto heshimiwa ndivyo itakavyokuwa kuhusiana na katiba mpya. Nayo itakanyagwa, kupuuzwa na kutoheshimiwa kwa kiwango kilekile. Hivyo tatizo halijawahi kuwa ubovu wa katiba bali ni kuto kutii katiba. Nachelea kusema kwamba matatizo ya Taifa letu (na mataifa mengine kwa ujumla) yaliyosababishwa na ubovu wa katiba na machache na mepesi, kuliko matatizo yaliyo sababishwa na kuto heshimu, kupuuza na kudharau katiba.
Jambo la kusisitiza ni jamii (kutia ndani viongozi) kuelewa faida za kutii sheria na katiba ikiwemo bila shuruti.
 
Uamuzi wa kuhamia Dodoma ulikuwa wa kukurupuka umelitia Taifa hasara sana,sasa mdogo mdogo tunarejea Dar es salaam.
 
Hayo ni matunda ya utawala wa kiimla ya dikteta Magufuli. Watendaji walijaa unafiki mtupu. Watu waliacha kufanya kazi kufuata miongozo na wakawa busy kumridhisha Magufuli huku wakitesa watanzania.
Hata mwanafunzi asipofuata matakwa ya mwalimu hufeli haiwezekani viongozi wajichagulie ya kufanya hatutafika
 
Kama uko makini kwenye siasa za kimataifa unaweza fahamu nani mwenye nguvu kati ya katiba ya nchi na rais alieko madarakan..naomba urejelee utendaji kaz wa trump aliekuwa rais wa marekani..pamoja na kwamba wamarekani wengi wako vzur kichwani haswa kwenye masuala la nchi yao na katiba..lakin kichaa trump aliwatingisha kweli kweli had wakanyoosha mikono..sembuse haka ka nchi kalichojaa mazwazwaa kila kona..nakuhakikishia hata hiyo katiba iwejee rais kama hana heshima na ustaarabu kwenye ubongo wake ataikanyaga mchana kweupe na hatafanywa kitu
Kama katiba ya Marekani isingekuwa na vipengele vya kudhibiti maamuzi ya ajabu nani angemzuia Trump kubaki kwenye kiti cha Urais. Mara hii tumesahau vitimbwi vyake hadi mujahidina wake kuvamia bunge kuzuia uthibitisho wa ushindi wa Biden. Tujaribu kuwa na akina ya maneno.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaodai katiba mpyaa...mnashindwa kujua shida iko wap..hata ukiwa na katiba bora kama nn..bila kuwa na watu wanaoiheshimu ni kaz bure..katiba haijindeshi yenyewwwe..wapo watu wanaisimamia hiyo katiba..kama hao watu ni hovyoo baas wataikanyagaa tu hiyo katibaaa...hivyoo kinatakiwa ni mind set za hao watu zibadilike hapo ndipo katiba itasaidia..la sivyo ni kutwanga maji kwenye kinu..
Hii iliyopo tu inasiginwaa mchana kutwaa..
Nakubaliana na wewe. Emu fikiria wengi wa viongozi wa vyama vya siasa wana katiba lakini hawaifuati wala kuheshimu. Kwa mfano mtu anakaa kwenye nafasi ya mwenyekiti au kongozi mkuu miaka nenda - rudi.
 
Acha wale maisha bhana, jipendekeze na wewe uambulie hata UDED.Hii nchi ukipata kacheo wewe kula maisha tu uzalendo baadaye
 
Kwani katiba inasemaje?tuanzie hapo kwanza mdau
 
Yaani kwa sasa ni nadra sana kuwakuta hawa viongozi wapo Dodoma makao makuu - wote imekuwa ni njia moko Dar - Magari yenye bendera za Mawaziri na Watendaji wengine wa Serikali wamerudi Dar kwa kasi kubwa mno. Yaani haipiti saa tatu ukiwa Morogoro kila siku unaona gari la kiongizo liko spidi kutoka au kwenda Dar na Dodoma. Matrafiki siku hizi hawana hata mpango wa kuyasimamisha tena. Wamechoka wanaangalia tu.

Gharama hizo za magari kukimbia njia ya Dar Dom ninaona ni kuwa mno kiasi kwamba angekuwepo Mwendazake isingekuwa hivi - wengine hadi juzi wamediriki kuamua kurudisha Ofisi zao Dar - Waziri yule kaitoa Ofisi Moro kuipeleka Dar badala ya Dodoma. Ninamkumbuka sana Mwendazake jamani!

Hivi leo hii tukiitisha roll call ya Viongozi Dodoma ni Mawaziri na Wanaibu Waziri na Makatibu Wakuu wangapi watakuwepo Dodoma leo?
Kumbuka juzi tu karibu wote walikuwa Dar kwa Sabasaba - leo Ijumaa tayari wanne wamepanga ndege na kuna magari zaidi ya 6 yanaelekea Dar now bila hata sababu yeyote. Pumzika kwa Amani Mwendazake! Tumekumiss sana sana!
Kweli ni gharama kubwa sn, ndiyo maana bajeti nzima 20% ndiyo fedha za maendeleo kwa maana ya miradi zingine ni kulipana posho wakubwa
 
Nigeria, Malawi wamejenga na kuhamia makao makuu mapya, kama kutaja mifano kunasaidia kuwekea uzito hoja.

Uamzi wa kufanya Dodoma kuwa makao makuu ya serikali haukuwa na hauna ubaya wowote. Dar es Salaam itaendelea kuwa kituo kikuu cha biashara, sioni tatizo liko wapi.

Hawa viongozi inatakiwa watulizane tu wafanye kazi za wananchi hapo hapo Dodoma.

Moja ya historia mbaya inayoweza kumwandama Samia ni huku kuhangaika na safari za kila siku kwenda Dar es Salaam, na atakaporuhusu na mawaziri wake waige tabia hiyo, atajiwekea alama mbaya katika uongozi wake.
Muda wote wapo safarini hakuna la maana wanafanya
 
Chama cha siasa cha upinzani kitakacho jipanga vizuri na kuwa na Sera za kurudisha Daisalamu kuwa ndio makao makuu ya nchi na kwenda nayo kwenye uchaguzi 2025 kitaipa taabu sana CCM.

Kuhamia Dodoma kwa msukumo ule na utapanyaji wa rasmilali nchi ili kufanikisha hilo yalikuwa ni maamuzi ya hovyo sana. Nilisema hili JPM akiishi. Ninalisema sasa akiwa haishi na nitalisema siku zijazo.
 
Chama cha siasa cha upinzani kitakacho jipanga vizuri na kuwa na Sera za kurudisha Daisalamu kuwa ndio makao makuu ya nchi na kwenda nayo kwenye uchaguzi 2025 kitaipa taabu sana CCM.

Kuhamia Dodoma kwa msukumo ule na utapanyaji wa rasmilali nchi ili kufanikisha hilo yalikuwa ni maamuzi ya hovyo sana. Nilisema hili JPM akiishi. Ninalisema sasa akiwa haishi na nitalisema siku zijazo.
Sikubaliani na wewe hata kidogo!
 
Back
Top Bottom