KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kwa kosa gani?Maana yake ni naomba msamaha kwa mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kosa gani?Maana yake ni naomba msamaha kwa mungu
Kwa kosa la kusoma huu uziKwa kosa gani?
BujiBuji umetisha. Wewe ni Makamu wa Mshana Jr kwenye haya mambo. Bandiko ni bora kabisa kwa ajili ya kupata ilimu.Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.
Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.
DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.
Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.
UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.
Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.
Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.
UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.
Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.
Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.
Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.
Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.
AMANI IWE KWENU NYOTE
Mfano halisi wa shetani ni mwanamke kabla hujamuoa anajifanya malaika wa nuru, muoe uone anavyogeuka kuwa kiumbe wa hatariKweli kabisa!
Ni masuala yako wewe na Mungu.Tufanyeje Sasa ili tuwe na Mungu tuu?!!
Imani ndio suala la mtu binafsi na anachokiamini lakini dini lazima iwe ni muafaka wa kiimani katika jamii fulani.Ni kweli kabisa.
Kwa sababu dini zote zina Siasa(maslahi ya kikundi fulani) na huo ndio ushetani wenyewé.
Dini ni suala la mtu na Mungu wake. Na sio vikundi au magenge ya Watu kukaa pamoja
Huwezi kumwinua Shetani kwa kumpa fursa iliyo na sifa. Hiyo ni kufuru, Shetani hawezikuongoza dini yoyote.Amekufuriwa nani hapa?
Hapa nakubaliana na wewe kabisa.Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.
AMANI IWE KWENU NYOTE
Mungu amekusameheKwa kosa la kusoma huu uzi
Kwa kosa la kusoma huu uzi
Mungu haongozi dini. Mùngu hana dini. Acha kumsingizia Mungu.Huwezi kumwinua Shetani kwa kumpa fursa iliyo na sifa. Hiyo ni kufuru, Shetani hawezikuongoza dini yoyote.
Mungu wetu na Roho Mtakatifu ni Mwanzo na Mwisho, Alpha na Omega.
Shetani ni just a foot note.
Tuwaite watakatifu, au sio ?Hizi dini ni za kwao, na watu weusi tulizipokea maanake tuliridhia na tulikubali mapokeo yake.....Leo wanapoleta instructions zao ambazo zinapingana na Mila zetu tusiite 'ni shetani'
UmeuaMfano halisi wa shetani ni mwanamke kabla hujamuoa anajifanya malaika wa nuru, muoe uone anavyogeuka kuwa kiumbe wa hatari
We unaonajeTuwaite watakatifu, au sio ?
Naona kwa machoWe unaonaje
Hili kuifahamu dini ya uisilamu lazima uwe msomi wa qur,aan na sunna umesoma aya gani na hadithi namba ngapi inayo sema kuwa uisilamu ulikuja miaka 600 baada ya kuondoka yesu?Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.
Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.
DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.
Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.
UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.
Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.
Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.
UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.
Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.
Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.
Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.
Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.
AMANI IWE KWENU NYOTE
Kwa hiyo Uislam ulianza lini? Naomba evidence na referencesHili kuifahamu dini ya uisilamu lazima uwe msomi wa qur,aan na sunna umesoma aya gani na hadithi namba ngapi inayo sema kuwa uisilamu ulikuja miaka 600 baada ya kuondoka yesu?
Nimecheka aiseeNaona kwa macho