Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
BujiBuji umetisha. Wewe ni Makamu wa Mshana Jr kwenye haya mambo. Bandiko ni bora kabisa kwa ajili ya kupata ilimu.
 
Tufanyeje Sasa ili tuwe na Mungu tuu?!!
Ni masuala yako wewe na Mungu.
Screenshot_20231118-080508_Phoenix.jpg
 
Ni kweli kabisa.
Kwa sababu dini zote zina Siasa(maslahi ya kikundi fulani) na huo ndio ushetani wenyewé.

Dini ni suala la mtu na Mungu wake. Na sio vikundi au magenge ya Watu kukaa pamoja
Imani ndio suala la mtu binafsi na anachokiamini lakini dini lazima iwe ni muafaka wa kiimani katika jamii fulani.

Dini ni taasisi ya kijamii lakini imani ni mawasiliano kati ya kiumbe kimoja na kingine.

Hivyo, dini zimehodhi mawasiliano baina ya nguvu ya uumbaji na viumbe vyake.

Kimantiki, huwezi kuwa na dini isiyokuwa na imani lakini unaweza kuwa na imani bila kuwa na dini yoyote.

Dini zimekuwa zikifanya jinai ya kiroho kwa kulazimisha viumbe wenye namna/njia tofauti za mawasiliano kuwasiliana kwa namna/njia zinazofanana.

Kila mwanadamu anamsimbo wake wa kuziamsha nguvu alizojengwa nazo kutoka kwa muumba.

Chukulia mfano, matunda, kila tunda lina virutubisho vyake ambavyo ni tofauti na matunda mengine. Suala hili linayafanya matunda tofauti tofauti kuwa na uwezo wa kukabiliana na magonjwa tofauti katika mwili wa mwanadamu au kiumbe chochote.

Kwa wanadamu ipo hivyo pia, kila mmoja ana nguvu/kipawa chake ambapo atalazimika kukitunza kwa namna/mawasiliano yake binafsi na muumbaji.

Huwa sitaki mtu aje kunihubiria masuala ya dini yake, ijapokuwa sikatazi watu kushiriki ibada za dini zao.

Tukitaka kuamsha nguvu ya mawasiliano baina ya mwanadamu na muumba wake katika taifa hili, tutaanza kufanya censorship ya mahubiri katika nyumba za ibada, yaendane na namna sisi tunavyotaka kwa maslahi ya kizazi kijacho.

Asante

Mshana Jr Kiranga @mwifa Da'Vinci LIKUD Zitto jr
Jumong S Rakims walter walker
 
Hizi dini ni za kwao, na watu weusi tulizipokea maanake tuliridhia na tulikubali mapokeo yake.....Leo wanapoleta instructions zao ambazo zinapingana na Mila zetu tusiite 'ni shetani'
 
Hizi dini ni za kwao, na watu weusi tulizipokea maanake tuliridhia na tulikubali mapokeo yake.....Leo wanapoleta instructions zao ambazo zinapingana na Mila zetu tusiite 'ni shetani'
Tuwaite watakatifu, au sio ?
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Hili kuifahamu dini ya uisilamu lazima uwe msomi wa qur,aan na sunna umesoma aya gani na hadithi namba ngapi inayo sema kuwa uisilamu ulikuja miaka 600 baada ya kuondoka yesu?
 
Back
Top Bottom