Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Na ndio muanzilishi wa hili dini kipofu linaloleta vita na misuguano sehemu zote duniani. Eti dunia nzima tunalazimishwa kuwa Waislam. Sasa tukishakiwa Waislam wote wao itawasaidia nini?
FB_IMG_1699790320466.jpg
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Umekosea sana, labda ungesema Uyahudi na Ukiristo wanavitabu vyenye chimbuko na Mungu wa Kweli, lakini, Shetani amejipenyeza kiasi kwamba wamepotosha hayo mafundisho.
Lakini Uislam unachimbuko Moja kwa Moja Toka kwa Shetani na Waislam wanatekeleza maahizo ya Shetani
Screenshot_20231116-174917.png

 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Mkuu naomba nikuulize swali na unijibu vizuri, hivi wewe binafsi kwa imani yako ulishawahi kukutana na Mungu, Shetani, Malaika au Jini??? Kuna mtu yeyote katika cycle yako ulishawahi kukutana na mmoja wa hao niliowataja hapo juu katika uhai wao?

Kama sio, kwanini ufikiri kwamba shetani ndiye katawala dini zote??? Kwa ushahidi upi???

Mitume wengine kati imani ya Kikristo na Kiislamu wanasema walifanya mauaji kwa maelekezo ya Mungu.

Mkuu nionyeshe mahali kwenye maandiko ambapo mtume moja tu alipewa maelekezo rasmi na shetani kufanya maangamizi ya binadamu???
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Mkuu,ni kwa ushahidi upi kua uislamu umekuja miaka 600 baada ya UKRISTO??
 
Mkuu naomba nikuulize swali na unijibu vizuri, hivi wewe binafsi kwa imani yako ulishawahi kukutana na Mungu, Shetani, Malaika au Jini??? Kuna mtu yeyote katika cycle yako ulishawahi kukutana na mmoja wa hao niliowataja hapo juu katika uhai wao?

Kama sio, kwanini ufikiri kwamba shetani ndiye katawala dini zote??? Kwa ushahidi upi???

Mitume wengine kati imani ya Kikristo na Kiislamu wanasema walifanya mauaji kwa maelekezo ya Mungu.

Mkuu nionyeshe mahali kwenye maandiko ambapo mtume moja tu alipewa maelekezo rasmi na shetani kufanya maangamizi ya binadamu???
Acha miyeyusho wewe. Ni Mungu gani anayezalisha magonjwa maabara? Ni Mungu gani anayechochea ugaidi? Ni Mungu gani anayewaambia waumini wafunge hadi wafe? Nijibu fasta kabla Bujibuji hajaamka kukujibu
 
Acha miyeyusho wewe. Ni Mungu gani anayezalisha magonjwa maabara? Ni Mungu gani anayechochea ugaidi? Ni Mungu gani anayewaambia waumini wafunge hadi wafe? Nijibu fasta kabla Bujibuji hajaamka kukujibu
Mkuu uungwana ni kujibu maswali yaliyotangulia halafu ndio uulize ya kwako.

Kwa utaratibu huo tutaeleweshana vizuri. Mimi sina ugomvi wala miyeyusho ya aina yoyote nawe.

Mkuu jibu maswali yangu kwanza halafu nitajibu ya kwako bila hiyana.
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Rc na Papa Si wakristo,

Wasabato pia Si wakristo.

Dini ya ijumaa, nayo ndo vile tena.

Unatakiwa kujua kuwa, Yesu hakuacha dini, aliacha Imani.

Na sasa ndipo Kanisa la Kweli linaanz kurudishwa kama zamani, wakati dini za kishetani wakiabudu jumapili,

Waamini Kristo wa Kweli, kusanyiko lao litarudi Siku ya Jumamosi kama zamani.
 
Waislam mnasema Mungu ni Mwislam, kwanini alieuhusu dini nyingine ziwepo kabla Uislam haujakuwepo?
Hilo sio jibu la swali langu hapo juu,jibu kwanza then uje uulize swali lako

Ni kwa ushahidi upi uislamu umekuja miaka 600 baada ya UKRISTO??
 
Hilo sio jibu la swali langu hapo juu,jibu kwanza then uje uulize swali lako

Ni kwa ushahidi upi uislamu umekuja miaka 600 baada ya UKRISTO??
Hata dini inaongozwa na shetani, mbaya zaidi ni yeye aliyempa mwamedi lile gombo feki
 
Back
Top Bottom