Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
kula K-VANT nakuja kulipa mazee!!
 
Shetani akawaambia mwanamke Maana Mungu anajua siku mtakapokula tu mtafanana naye
Shida ni haya matunda ya mti wa ujuzi wa MEMA NA MABAYA
 
Unachoongea ni kweli maana shetani kutokana na maandiko ya Biblia inamwita "mdanganyifu na baba wa uongo". Shetani ni rahisi kukuaminisha kwamba hakuna Mungu na kukupa facts na wewe ukaamini na hao amewashika watu wengi tu na hawaamini kama kuna Mungu wakati ukweli uliosimama ambao hautapingika ni kwamba Mungu yupo na ndiye aliyeumba mbingu na nchi. Pia Bibilia inamuita shetani "mungu wa dunia hii". Deception ni kubwa sana hata kwa watu wa Mungu na unasikia eti ukifia dini mabikira 72 wanakusubiri au utaenda ahera kumbe mwenzangu umeshadanganyika ukifa tu ziwa la moto linakusubiri na ndivyo ilivyo uamini usiamini. Sasa hapo ndiyo ujue uongo mkubwa wa shetani. Ona jinsi alivyokuja kwa Yesu (ingawa alikuwa mwana wa Mungu) akimwambia "ukinisujudia nitakupa utajiri wote huu maana uko mikononi mwangu". Sasa kama hakuweza kumwogopa hata Yesu mwenyewe sisi kama binadamu si anatupa mali tu na kumwacha Mungu mara moja. Na hiki cha mali ndicho shetani anawafanyia watumishi wa Mungu ili waweze kupenda pesa na kuacha njia za Mungu. Mambo ni mengi lakini kwa wale wateule wa Mungu, Mungu awalinde na deception za huyu muuaji mpaka atakapokuja BWANA WETU YESU KRISTO. . Yesu alisema kwenye Yohana 10:10 " Mwizi (shetani) anakuja kuiba, kuua, na kuangamiza. Lakini mimi (Yasu mwana wa Mungu) nilikuja kuwaletea uzima, na muwe nao kwa ukamilifu".
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Dini yoyote ile inayojikita kwenye kushika sheria, hiyo inatumika na Shetani
 
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.

Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi ya watu wema inavyonufaika.

DINI YA WATAHUDI, katika Mashariki ya Kati hii ni dini ya zamani zaidi. Hii ndiyo dini ambayo ina ratibu mambo mbalimbali duniani yaliyo mabaya na dhalimu.

Matajiri wakubwa na wawekezaji wakubwa duniani ni Wayahudi. Hawa ndio wanaamua kuzalisha vimelea na vijidudu hatari vya magonjwa na kuviachia duniani ili makampuni yao ya madawa yauze chanjo na dawa za kuponya magonjwa waliyoyatengeneza.

UKRISTO
Imani hii ilianzishwa na Yesu mwenyewe ikitokea kwenye dini ya Kiyahudi. Ukristo umekuwa ukitumiwa na shetani ambaye amewaweka viongozi wake.

Papa wa Kanisa Katoliki analeta sera za ajabu kabisa kanisani. Anataka kanisa lihalalishe mahusiano ya jinsia moja, kitu ambacho ni kinyume kabisa na msingi wa kitabu kitakatifu cha Biblia.

Manabii na wachubgaji feki wamejazana kwenye Ukristo wakifanya maajabu bandit, wakiua , wakilawiti watoto, wakizini na kufanya mengi yaliyo dhalimu. Na jamii inaona poa tu.

UISLAM.
Hii ni dini iliyokuja miaka 600 baada ya Ukristo. Hapa ni mwendo wa upanga kwa upanga, jino kwa jino.

Tumeona jinsi shetani ambavyo amejitwalia utukufu hadi kuufanya Uislam uonekane ni dini ya kigaidi.

Al Qaeda, Al Shabaab, Boko Haram nk ni makundi ya kijihad yanayofanya vitendo vya kuua watu wasio na hatia, haswa wale ambao imani yao ni kinyume na Uislam.

Haya ni kwa uchache tu niliyoyaandika, lakini DINI NI MALI YA SHETANI (DINI ZOTE) ndio maana anaweza kuzitumia atakavyo.

Mahusiano ya Mungu na mwanadamu ni mahusiano ya mtu mmoja mmoja na sio dini.

AMANI IWE KWENU NYOTE
Ulichoandika hapa ni pure diarrhea - yaani kuhara kwa kufa mtu! Kuhusu papa naambatanisha document (Declaration) inayozungumziwa na uisome yote. Imeandikwa katika lugha mbalimbali. Kiingereza (angalia kuanzia ukurasa 20). Document nzima ina aya 1-45. Soma taratibu uelewe na underline mstari, sentensi au aya ambayo inaonyesha papa anasema "kanisa lihalalishe ndoa za jinsia moja" kama ulivyoandika. Hapo nitajua unasema ukweli mtupu na uwongo kwako mwiko. Otherwise, nitajua wewe ni mmoja wa mawakala wa yule mwovu mliotumwa kueneza uwongo duniani hata bila kujitambua.
 

Attachments

Sina hoja ya kupingana na wewe kwa kuwa dini ndiyo makazi ya shetani kwa sasa, ni kuachana na dini hizo zenye ushetani ndani yake. Tuutafute utakatifu na haki yeke humo kuna wokovu, dini ni mzigo
 
Naunga mkono HOJA 🙏

Yesu hakuja duniani kueneza dini,

Bali alikuja kueneza Upendo wa Mungu Kwa WANADAMU, Akileta Imani na maisha ya utakatifu,

KANISA ni Mtu mmoja aaminiye. Wakikusanyika, yanakuwa makanisa.

MWILI wangu ndilo hekalu ambalo Yesu anaishi kupitia Roho wake mtakatifu, hivyo kamwe mwili wangu hautachafuliwa na zinaa na makufuru !!

Na tukikusanyika wawili, Yesu Yu pamoja nasi!!

Dini zikijikusanya Kwa kumtumikia shetani, sisi Bado tutasimama na Imani katika Yesu Kristo,

Tutaongozwa na NENO LA MUNGU NA ROHO MTAKATIFU.

Na tutajitenga na dini zenye makufuru na maelekezo ya mashetani.

YESU tusaidie, tuitunze Imani hata urudipo.

Aaamen
 
Upo sahihi
Kwa asilimia kubwa dini zote zinatawaliwa na Shetani.
Sio wale wanaosema Shetani matendo mabaya.
Ni Shetani mwenyewe, yaani Ibirisi Lusifer na Malaika zake Majini.

Mfano kwenye Ukristo.
Akina Mackenzie wa kule Kenya
Akina Kibwetele Uganda
Akina Mfalme Zumaridi, Nabii Tito, Tanzania.
Ni kati ya hao.
 
Back
Top Bottom