Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

Unapendekeza Nini Sasa mkuu!!?
 
Shetani kafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye ukristo. Kuanzia mavazi, muziki na mafundisho yanayotolewa. Ndani ya kanisa kwa sasa ni full ushenzi. Imefikia hatua baadhi ya makanisa kama huna hela hukai viti vya mbele. Nyimbo za kikristo zimekua za kihuni pamoja na mavazi. Ukiuliza unajibiwa imani iko moyoni haiko kwenye mavazi. Mchungaji/Nabii/Mtume wamejikita kwenye kujitajirisha kwa kisingizio kuwa watumishi wa Mungu hula madhabahuni.

Kwenye uislamu kumekuwa pagumu kwa shetani kupenya lakini nako kashawekeza sana. Bado waumini wengi wako loyal kwa imani yao. Misikitini hakuna tajiri na maskini. Pia kuchagua wote kuvaa kanzu inawasaidia kupunguza matabaka wanapokuwa ibadani. Wanawake wa kiislamu pia wanampa wakati mgumu shetani kuwavuruga kupitia mavazi. Ila tayari Masheikh kibao ndo waganga wetu wa kienyeji waliojaa ushirikina. Mambo ya vurugu na uvunjifu wa amani ndo kitu shetani kafanikiwa sana kwenye kuwavuruga waislamu.
 
Atahangaika vipi na UISLAM wakati yeye ndiye Muasisi wa UISLAM. Hata LOGIC ya kawaida unapambama na yule mtu asiyekuwa upande wako. Au kwa wale wapenzi wa mpira mkakati wa kocha huwa kuweka mabeki wengi kimkaba mshambuliaji wanaye muona ni HATARI kwao ( mfano Messi)
Uislam umejaa matusi kwenye Quran mfano Kuna maandiko yasema waziwazi vi**na (wanawake)
Maandiko mengine yasema waziwazi pe**ns (wanaume)
Hadithi inasema Mtume alifanya ngono na Ngamia wakati ambapo haikuwezekana afanye ngono na wake zake walipokuwa kwenye period
Maandiko yanasema Mtume alikuwa na nguvu za kiume kiasi Cha mara 40 ya muanaume wa kawaida

 
Hii ni ya kwako binafsi kwasababu waislamu tunaishi nao na wamekuwa wakikemea ngono za aina hiyo. Acha kupotosha
 
Hii ni ya kwako binafsi kwasababu waislamu tunaishi nao na wamekuwa wakikemea ngono za aina hiyo. Acha kupotosha
Kama Hawa hapa siyo 🤣


Wewe waachie tu kitoto chako Cha kike Cha miaka site uone
 
Waafrika na mambo ya kuletewa kwani ninyi yenu jamna mpaka mletewe?
 
Ngoja waje mashuuda wa uongo watupe Neno kutoka kwenye ILIMU yao ya upumbavu.
FaizaFoxy Bibi mwenye shepu njoo ushuudie uongo
 
Huwezi kumwinua Shetani kwa kumpa fursa iliyo na sifa. Hiyo ni kufuru, Shetani hawezikuongoza dini yoyote.
Mungu wetu na Roho Mtakatifu ni Mwanzo na Mwisho, Alpha na Omega.
Shetani ni just a foot note.
Kwa hiyo MUNGU ndio atuletee dini zote hizo mwisho wa siku tuiamini hipi?
 
wana macho lakin hawaoni,wana masikio lakin hawasikiii Bongo zaoni ngumu kuchakata mambo ya rohoni kwa kuwa maharifa hawana
Halafu kulitolea Muislam ameacha Uislam na akaanza kuukosoa wanamtafuta wamuue. Mifano tunayo ya Alina Sulman Rushdie.
Hapa penye video ni huyu Dada wa Kisomali alipoacha wakaamza fitna za kumuua. Na Waislam ni wepesi kukimbilia UMOJA wa MATAIFA kuomba protection wakidai Islamaphobia

View: https://youtu.be/5AkAGc5nOXw?si=t5qmxzDFIS3Rsny6
 
Kwa hiyo MUNGU ndio atuletee dini zote hizo mwisho wa siku tuiamini hipi?
Sasa wewe Kijungu, mfano tu Dini ya kiislam kitabu chao kinakwambia aliyekuwa akimtembelea Mtume Mohammad ni SHETANI (Sahih Al-Bukhari 4950) na ndiyo aliyemshushia Quran, Bado tu unataka kumlaumu Mungu kuwa amekushushia Dini nyingi ili akuchanganye? LAHASHA, dini ya kiislam imeshushwa na Shetani.
Ktk hiyo hadithi huyo Shangazi wa Mtume Mohammad alisema anayemtembelea Mohammad ni SHETANI. ALLAH Wala HAKUKANUSHA KUWA yeye siyo Shetani, badala yake akamwambia Mtume Mohammad kuwa sijakuacha
 
Ni kweli kabisa.
Kwa sababu dini zote zina Siasa(maslahi ya kikundi fulani) na huo ndio ushetani wenyewé.

Dini ni suala la mtu na Mungu wake. Na sio vikundi au magenge ya Watu kukaa pamoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] juzi walinibishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…