Huwa wanaenda kanisani mkuu,tena mpaka wananena kwa lugha.Unafikiri wachawi hawaendi kanisani au msikitini?
Muache Mungu aitwe Mung,anavumilia sana dhihaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanaenda kanisani mkuu,tena mpaka wananena kwa lugha.Unafikiri wachawi hawaendi kanisani au msikitini?
Kweli kwenye sayona nimeona ila hizo mbili hazijachanganywa pamoja kama ilivyo kwenye azam embeIngredients zote huwa zinaandikwa. Zile ambazo ni synthetic au zisizo natural huwa na E number (Food additives number according to EU).Mfano ascorbic acid ni E300 and sodium benzoate ni E211.
Kwenye beverages nyingi ziwe carbonated au zisizo carbonated huwa hizo chemicals zipo hata kwenye sayona tunda zipo.