Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huluma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kituhakikishia usalama wetu!!
Wanabunduki yenye lichuma refu na zito kama uko kwenye gari wanapaki gari mbili moja mbele nyingine nyuma tuelekeze mbinu za midani ukizingatia Sehemu ya ubongo inayoitwa amygdala inafanya kazi hili ni eneo la ubongo linalohusika na hofu
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Ukiwa mpole unakufa, ukiwa mkali unakufa, Bora upambane ufe kishujaa
 
Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Wengi siyo watu wa miraba minne, bali tu woga wa Watanzania. Unaamini hao abiria wote ndani ya basi wangeunganisha nguvu, hao maharamia 2 wa TISS wangewazidi nguvu? Sasa ni wakati wa kila mtu kutembea na chochote ili kujihami. Kama ni kisu, sime, pisto hata upupu mkali, fanya hivyo. Sote tujue kuwa tunatawaliwa na mashetani yasiyothamini kabisa uhai wetu. Pigania uhai wako na wa mwanadamu mwenzako mpaka tone la mwisho.
 
Ndugu yangu hakuna asiyekufa ,jichagulie mmoja kufa nae
Haaa mimi huwa natembea na screwdriver ndefu kwenye begi hapo wawili nakufa nao huko unako kwenda watakutesa bora wanifumue ubongo mimi nifumue matumbo yao, kwenye ubongo wa binadamu, kuna eneo linalo shughulika hofu linaitwa amygdala hili bwana linasababisha uahirishe kufikiri ili utumikie hofu kwanza kumbe inatakiwa uliandae vinginevyo utafanya maamuzi ya hovyo kama ya kuku
 
Wengi siyo watu wa miraba minne, bali tu woga wa Watanzania. Unaamini hao abiria wote ndani ya basi wanfeunganisha nguvu, hao maharamia 2 wa TISS wangewazidi nguvu? Sasa ni wakati wa kila mtu kutembea na chochote ili kujihami. Kama ni kisu, sime, pisto hata upupu mkali, fanya hivyo. Sote tujue kuwa tunatawaliwa na mashetani yasiyothamini kabisa uhai wetu.
Wanetufundisha halafu hata bunduki na pingu zipo za kukodisha kuna kitu kimeniingia akili kuhusu wasiojulikana
 
Back
Top Bottom