Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upole upiChadema nawashauri watembee kwa makundi..
Hali ishabadirika, pia hii ni mbaya. Je Chadema nao wakianza kujibu mashambulio itakuwaje? Ikumbukwe Vyama vingi ikiwemo MCC kuna kundi kubwa la vijana ambao hawafichi hisia zao juu ya Chama chao.. so ni very easy kuwabaini.
Mie nashauri CDM wawe wapole.. wasijibu mashambulio. Na hao watu wanaofanya hivyo waache.
Utii bila shuruti kumbe unatii kifo?Unakamatwa tu , mimi wanikamate tu au wanipogie simu nitaenda
Inashangaza sn
Kila mmoja amiliki short gun kwa kweli. Yaani watanzania tujilinde na hili kundi la wahuniNchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Short gun si rahisi kumiliki labda mapanga shaa, short gun utasubiri sana hadi upimwe afya ya akili wakati huo kati ya wa 4 mmoja wenu anatatizo la afya ya akiri, taarifa toka wizara ya afyaKila mmoja amiliki short gun kwa kweli. Yaani watanzania tujilinde na hili kundi la wahuni
Hili ni tatizo kubwa sana, wezi, majambazi, wahasimu wako wa kibiashara waanaweza kujifanya polisi, usalama na kukuteka.Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
kwahyo we upo tayari kufa kindezi 😂😅Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Hakuna ambae hatokufa kaka uhuru wa kweli kifoTunaogopa mtutu wa bunduki, akiachia moja tu maini yatahama tumboni. Labda tuwe na ujasiri wa Wakenya. Nikimjua huyo polisi halafu anaekamatwa afariki, labda awe anaishi ikulu.
Watanzania tuna shida. Si ilisemwa kuwa, kwa sasa akija mtu kumkamata mtu mbele ya halaiki ni kumpiga yule mkamataji?Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Sio tanzania hii mzeeNchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Kweli kabisa nduguWatanzania tuna shida. Si ilisemwa kuwa, kwa sasa akija mtu kumkamata mtu mbele ya halaiki ni kumpiga yule mkamataji?
Sasa jiulize, mzee Kibao ametekwa ndani ya bus, ina maana dereva alishindwa kufunga mlango automatic halafu abiria wakaanza kuwashughulikia hao majambazi?
Tanzania usalama wako ni wako usitegemee kusaidiwa na watu!
Aisee hadi WAZEE wanauwa hamna aliye salamaMzee wa miaka 67 mnahangaika kumuua kisa siasa za hapa Duniani
Kutofautiana kimtazamo Duniani hakukwepeki.