Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Chadema nawashauri watembee kwa makundi..

Hali ishabadirika, pia hii ni mbaya. Je Chadema nao wakianza kujibu mashambulio itakuwaje? Ikumbukwe Vyama vingi ikiwemo MCC kuna kundi kubwa la vijana ambao hawafichi hisia zao juu ya Chama chao.. so ni very easy kuwabaini.

Mie nashauri CDM wawe wapole.. wasijibu mashambulio. Na hao watu wanaofanya hivyo waache.
Upole upi
 
Msiojulikana mjipange, mkija kitaani kwetu kizembe, ni mwendo wa kiberiti tu.
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Kila mmoja amiliki short gun kwa kweli. Yaani watanzania tujilinde na hili kundi la wahuni
 
Kila mmoja amiliki short gun kwa kweli. Yaani watanzania tujilinde na hili kundi la wahuni
Short gun si rahisi kumiliki labda mapanga shaa, short gun utasubiri sana hadi upimwe afya ya akili wakati huo kati ya wa 4 mmoja wenu anatatizo la afya ya akiri, taarifa toka wizara ya afya
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Hili ni tatizo kubwa sana, wezi, majambazi, wahasimu wako wa kibiashara waanaweza kujifanya polisi, usalama na kukuteka.
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Watanzania tuna shida. Si ilisemwa kuwa, kwa sasa akija mtu kumkamata mtu mbele ya halaiki ni kumpiga yule mkamataji?

Sasa jiulize, mzee Kibao ametekwa ndani ya bus, ina maana dereva alishindwa kufunga mlango automatic halafu abiria wakaanza kuwashughulikia hao majambazi?

Tanzania usalama wako ni wako usitegemee kusaidiwa na watu!
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Sio tanzania hii mzee
 
Watanzania tuna shida. Si ilisemwa kuwa, kwa sasa akija mtu kumkamata mtu mbele ya halaiki ni kumpiga yule mkamataji?

Sasa jiulize, mzee Kibao ametekwa ndani ya bus, ina maana dereva alishindwa kufunga mlango automatic halafu abiria wakaanza kuwashughulikia hao majambazi?

Tanzania usalama wako ni wako usitegemee kusaidiwa na watu!
Kweli kabisa ndugu
 
Back
Top Bottom