Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

Chadema nawashauri watembee kwa makundi..

Hali ishabadirika, pia hii ni mbaya. Je Chadema nao wakianza kujibu mashambulio itakuwaje? Ikumbukwe Vyama vingi ikiwemo MCC kuna kundi kubwa la vijana ambao hawafichi hisia zao juu ya Chama chao.. so ni very easy kuwabaini.

Mie nashauri CDM wawe wapole.. wasijibu mashambulio. Na hao watu wanaofanya hivyo waache.
 
Wengi siyo watu wa miraba minne, bali tu woga wa Watanzania. Unaamini hao abiria wote ndani ya basi wangeunganisha nguvu, hao maharamia 2 wa TISS wangewazidi nguvu? Sasa ni wakati wa kila mtu kutembea na chochote ili kujihami. Kama ni kisu, sime, pisto hata upupu mkali, fanya hivyo. Sote tujue kuwa tunatawaliwa na mashetani yasiyothamini kabisa uhai wetu. Pigania uhai wako na wa mwanadamu mwenzako mpaka tone la mwisho.
Zacharia asingekuwa jasiri, huenda asingekuwa hai mpaka sasa hivi. Aliyajeruhi hayo maharamia wawili yalikimbia kama hayana akili.
 
Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Mwanaume wewe tumia silaha yoyote ukishindwa kuwang'ata na meno ita Munguuuuuuuuuu Munguuuuuuuu lolote laweza tokea ukapona tusiiamini serikali tena. Polisi ndio wauwaji ile dhana ya usalama wa raia haipo tena.
 
Tunaogopa mtutu wa bunduki, akiachia moja tu maini yatahama tumboni. Labda tuwe na ujasiri wa Wakenya. Nikimjua huyo polisi halafu anaekamatwa afariki, labda awe anaishi ikulu.
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
muhimu zaidi ni kujitenga na magenge ya kihalifu ili usishukiwe na vyombo vya kiuchunguzi 🐒
 
Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
20240908_151114.jpg
 
Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Ni bora kufia kwenye eneo la utekaji kuliko kwenda kutupwa mtoni. Sintokubali kukamatwa hata na askari Mwenye uniform. Namaanisha
 
Back
Top Bottom