Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Chadema nawashauri watembee kwa makundi..
Hali ishabadirika, pia hii ni mbaya. Je Chadema nao wakianza kujibu mashambulio itakuwaje? Ikumbukwe Vyama vingi ikiwemo MCC kuna kundi kubwa la vijana ambao hawafichi hisia zao juu ya Chama chao.. so ni very easy kuwabaini.
Mie nashauri CDM wawe wapole.. wasijibu mashambulio. Na hao watu wanaofanya hivyo waache.
Hali ishabadirika, pia hii ni mbaya. Je Chadema nao wakianza kujibu mashambulio itakuwaje? Ikumbukwe Vyama vingi ikiwemo MCC kuna kundi kubwa la vijana ambao hawafichi hisia zao juu ya Chama chao.. so ni very easy kuwabaini.
Mie nashauri CDM wawe wapole.. wasijibu mashambulio. Na hao watu wanaofanya hivyo waache.