Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Good thinkingMzee wa miaka 67 mnahangaika kumuua kisa siasa za hapa Duniani
Kutofautiana kimtazamo Duniani hakukwepeki.
Zacharia asingekuwa jasiri, huenda asingekuwa hai mpaka sasa hivi. Aliyajeruhi hayo maharamia wawili yalikimbia kama hayana akili.Wengi siyo watu wa miraba minne, bali tu woga wa Watanzania. Unaamini hao abiria wote ndani ya basi wangeunganisha nguvu, hao maharamia 2 wa TISS wangewazidi nguvu? Sasa ni wakati wa kila mtu kutembea na chochote ili kujihami. Kama ni kisu, sime, pisto hata upupu mkali, fanya hivyo. Sote tujue kuwa tunatawaliwa na mashetani yasiyothamini kabisa uhai wetu. Pigania uhai wako na wa mwanadamu mwenzako mpaka tone la mwisho.
Polisi ana utaratibu wa kufanya kazi yake. Hao siyo polisi bali ni maharamia yaliyopo ndani ya jeshi la polisi.Utaweza mzuia polisi asifanye kazi yake?
Hao polisi kuna sheria wanatakiwa wafuate na sio kukamata watu kienyejienyeji iyo haikubalikiUtaweza mzuia polisi asifanye kazi yake?
Mwanaume wewe tumia silaha yoyote ukishindwa kuwang'ata na meno ita Munguuuuuuuuuu Munguuuuuuuu lolote laweza tokea ukapona tusiiamini serikali tena. Polisi ndio wauwaji ile dhana ya usalama wa raia haipo tena.Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Polisi ni nani? Ukilijua hili basi mjadala wangu unaishia hapoPolisi ana utaratibu wa kufanya kazi yake. Hao siyo polisi bali ni maharamia yaliyopo ndani ya jeshi la polisi.
Mm nimemaanusha kwenye hiyo procedureHao polisi kuna sheria wanatakiwa wafuate na sio kukamata watu kienyejienyeji iyo haikubaliki
tukatae uharamia wa namna iyo
bora wakuulie hadharani penye watu kuliko gizaniMzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Mara nyingi wanakuwa hivyo. Huo mkono akikupiga kibao tu unaenda chini.Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
muhimu zaidi ni kujitenga na magenge ya kihalifu ili usishukiwe na vyombo vya kiuchunguzi 🐒Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!
Mzee vinakuja vipande vya mraba vinne unapiganaje?
Ni bora kufia kwenye eneo la utekaji kuliko kwenda kutupwa mtoni. Sintokubali kukamatwa hata na askari Mwenye uniform. NamaanishaNchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi na vitu muhimu kuliko siasa za kishamba zinazoendelea !! Hata aje IGP pigana ! Akija ffu pigana !! Akija na defender pikipiki au karandinga pigana Sana mpaka tone la mwisho usikubali kuchukuliwa na mtu yeyote !! Yeye au wewe wakufa afe !! Kama jeshi la polisi halitabadili style ya ukamataji ,hakuna atakaye waamini Tena !! Serikali inapiga tantalila sijui wachungaji matapeli sijui tunafuta usajili wa makanisa ambayo hayajasajiliwa vizuri inasaidia nini ?makamu wa rais kama una huruma na watanzania masikini basi achana na mambo ya sadaka kemea huu ushetani wa kuuwana bila sababu !! Narudia Tena usikubali kutekwa wala kuchukuliwa mpaka polisi watakapo taja mbinu mpya ya kutuhakikishia usalama wetu!!