Kwa siasa anazofanya Mh. Luhaga Mpina kwa sasa, ni kuwaandaa kisaikolojia wananchi wa jimbo la Kisesa kwa ajili ya chama kipya au kuhama nao upinzani

Kwa siasa anazofanya Mh. Luhaga Mpina kwa sasa, ni kuwaandaa kisaikolojia wananchi wa jimbo la Kisesa kwa ajili ya chama kipya au kuhama nao upinzani

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Friends, ladies and gentlemen..

Uelekeo wa kisiasa na mienendo ya siasa za mh.Lugaga Mpina mbunge wa jimbo la kisesa, inatiashaka na imebeba ujumbe mzito sana wa kisiasa nyuma ya pazia hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu 2025...

Kwanza anatumia nguvu nyingi na kubwa mno kujieleza kwa wananchi wake kuhusu mambo mengi ya msingi ya maendeleo jimboni kwake ukilinganisha na kipindi kilichopita, jambo ambalo si baya wala geni kwa siasa za Africa,
but I think, let things you have done speak for themselves...

lakini pia inaonekana anatumia pesa na gharama kubwa mno katika kujiimarisha na kujibrand vile vile tofauti kabisa na kipindi kilichopita ndani ya jimbo la Kisesa.. What are really inspires or forced mpina do do all these?...

kuna msukumo gani unamfanya huyu muungwana awe bize kujibrand kwa namna ya kipekee namna hii hasa kipindi hiki, tofauti na kipindi kilichopita? Anajiandaa hivi, kwani kuna nini hasa, au ameona na kugundua nini cha tofauti huko mbele?

Kwa maelezo yake mwenyewe, inaonekana tayari ame sense na kuingiwa hofu na kiwewe cha uchaguzi wa 2025, na kwamba amebaini kumbe kuna wananchi wengine wa Jimbo la uchaguzi la Kisesa wanaimendea nafasi ya ubunge wa Jimbo hilo muhimu la kisesa huko kanda ya ziwa..

ukimpima kwa kumtazama body language yake, tone yake anapo zungumza, ukicheki facial expressions yake, rangi ya mavazi yake na style ya mavazi yake na wasaidizi wake, aina ya printing ya vipeperushi na t-shirts,

ulinzi wake na aina ya watu anao ongozana nao, viongozi na wanasiasa anao ambatana nao kwenye mikutano yake, approach anayotumia kuwainfluence wananchi wake, ili wamuamini na kumkubali zaid n.k,
vinaashiria jambo fulani linaandalwa nyuma ya pazia...

Lakini jambo lingine muhimu zaidi kisiasa kwa muungwana huyu, ni ile chemistry na flow ya maswali ya wananchi na majibu ya mh. mbunge Luhaga Mpina hususani jana alipokua ziarani jimboni kwake, ilikua wazi rehearsal ilifanyika vizuri sana na performance in actions ilikua sawa sawia..

Kitu kingine muhimu sana kisiasa katika siasa za ndugu mpina, ni kukosekana kwa baadhi ya viongozi waandamizi muhimu wa CCM, wa kata na wilaya katika Jimbo analoliongoza Luhaga Mpina, na lakini pia hapakutolewa udhuru wa kiongozi yeyote. Mara zote muungwana ameambatana na diwani wa kata husika pekee. kulikoni iwe hivyo? hili nalo lina ujumbe mzito ulojificha dhidi ya uelekeo wa siasa za mh.Luhaga Mpina na mustakabali wake ndani ya CCM kuanzia kwenye Jimbo lake la Kisesa.

kibobevu zaidi,
unadhani Mh.Luhaga Mpina anawaandaa wananchi wake kisaikolojia kwaajili ya ujio wa chama kipya ambacho huenda anajipanga kuja nacho au anawaandaa wanakisesa kuhama nao upinzani?🐒

Mungu Ibariki
 
Wananchi wataamua wenyewe.kama anawasemea vizuri na anawakilisha kile wanachomtuma Bungeni .basi naona na naamini watamrejesha tena Bungeni hapo Mwakani.Na ni vyema sana tuwe na wabunge wenye kufikiri kwa namna tofauti tofauti kuliko wote wakawa wanafikiri kwa namna moja na kuungana katika kila Jambo na kwa kila kitu.. kikubwa ni kuangalia zaidi hoja zake na kuzipima katika mzani wa haki badala ya kumuangalia yeye kama yeye kwa jicho la chuki binafsi. Yaani tupinge hoja zake kwa hoja .hoja hupingwa kwa hoja na siyo rungu.
 
Friends, ladies and gentlemen..

Uelekeo wa kisiasa na mienendo ya siasa za mh.Lugaga Mpina mbunge wa jimbo la kisesa, inatiashaka na imebeba ujumbe mzito sana wa kisiasa nyuma ya pazia hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu 2025...

Kwanza anatumia nguvu nyingi na kubwa mno kujieleza kwa wananchi wake kuhusu mambo mengi ya msingi ya maendeleo jimboni kwake ukilinganisha na kipindi kilichopita, jambo ambalo si baya wala geni kwa siasa za Africa,
but I think, let things you have done speak for themselves...

lakini pia inaonekana anatumia pesa na gharama kubwa mno katika kujiimarisha na kujibrand vile vile tofauti kabisa na kipindi kilichopita ndani ya jimbo la Kisesa.. What are really inspires or forced mpina do do all these?...

kuna msukumo gani unamfanya huyu muungwana awe bize kujibrand kwa namna ya kipekee namna hii hasa kipindi hiki, tofauti na kipindi kilichopita? Anajiandaa hivi, kwani kuna nini hasa, au ameona na kugundua nini cha tofauti huko mbele?

Kwa maelezo yake mwenyewe, inaonekana tayari ame sense na kuingiwa hofu na kiwewe cha uchaguzi wa 2025, na kwamba amebaini kumbe kuna wananchi wengine wa Jimbo la uchaguzi la Kisesa wanaimendea nafasi ya ubunge wa Jimbo hilo muhimu la kisesa huko kanda ya ziwa..

ukimpima kwa kumtazama body language yake, tone yake anapo zungumza, ukicheki facial expressions yake, rangi ya mavazi yake na style ya mavazi yake na wasaidizi wake, aina ya printing ya vipeperushi na t-shirts,

ulinzi wake na aina ya watu anao ongozana nao, viongozi na wanasiasa anao ambatana nao kwenye mikutano yake, approach anayotumia kuwainfluence wananchi wake, ili wamuamini na kumkubali zaid n.k,
vinaashiria jambo fulani linaandalwa nyuma ya pazia...

Lakini jambo lingine muhimu zaidi kisiasa kwa muungwana huyu, ni ile chemistry na flow ya maswali ya wananchi na majibu ya mh. mbunge Luhaga Mpina hususani jana alipokua ziarani jimboni kwake, ilikua wazi rehearsal ilifanyika vizuri sana na performance in actions ilikua sawa sawia..

Kitu kingine muhimu sana kisiasa katika siasa za ndugu mpina, ni kukosekana kwa baadhi ya viongozi waandamizi muhimu wa CCM, wa kata na wilaya katika Jimbo analoliongoza Luhaga Mpina, na lakini pia hapakutolewa udhuru wa kiongozi yeyote. Mara zote muungwana ameambatana na diwani wa kata husika pekee. kulikoni iwe hivyo? hili nalo lina ujumbe mzito ulojificha dhidi ya uelekeo wa siasa za mh.Luhaga Mpina na mustakabali wake ndani ya CCM kuanzia kwenye Jimbo lake la Kisesa.

kibobevu zaidi,
unadhani Mh.Luhaga Mpina anawaandaa wananchi wake kisaikolojia kwaajili ya ujio wa chama kipya ambacho huenda anajipanga kuja nacho au anawaandaa wanakisesa kuhama nao upinzani?🐒

Mungu Ibariki
Ni kampeni chafu za WEZI na MAFISADI ambazo zinamfanya yeye atengwe na Viongozi ngazibya Jimbo, ambao wengi não wanaogopa kutengwa kama wataambatana na Mpina.
 
Hamna wa kumkata Jina MPINA.

Wanajuaa ,wanajuaa na kama hawajui basi wajue MPINA ni Magufuli ni Makonda ni Dola, ni Nyoka.
Kukatwa anaweza katwa kwa maelekezo, wa kumkataa yupo, ila akienda upande wa pili anashinda.

rejea issue ya John Magale Shibuda,alivyokatwa CCM akajiunga CHADEMA akashinda!!!

Siku aliyoapishwa bungeni waandishi wa habari wamkochonoa juu ya kukatwa jina, kuhama chama na Kugombea hatimaye kushinda!!

alijibu ifuatavyo.


" ...ILIKUWA NI UAMUZI WA KUCHEKESHA KUMWEKA DROGBA BENCHI WAKATI CHELSEA INA MECHI MUHIMU NA YUKO FIT SIO MAJERUHI"
 
Friends, ladies and gentlemen..

Uelekeo wa kisiasa na mienendo ya siasa za mh.Lugaga Mpina mbunge wa jimbo la kisesa, inatiashaka na imebeba ujumbe mzito sana wa kisiasa nyuma ya pazia hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu 2025...

Kwanza anatumia nguvu nyingi na kubwa mno kujieleza kwa wananchi wake kuhusu mambo mengi ya msingi ya maendeleo jimboni kwake ukilinganisha na kipindi kilichopita, jambo ambalo si baya wala geni kwa siasa za Africa,
but I think, let things you have done speak for themselves...

lakini pia inaonekana anatumia pesa na gharama kubwa mno katika kujiimarisha na kujibrand vile vile tofauti kabisa na kipindi kilichopita ndani ya jimbo la Kisesa.. What are really inspires or forced mpina do do all these?...

kuna msukumo gani unamfanya huyu muungwana awe bize kujibrand kwa namna ya kipekee namna hii hasa kipindi hiki, tofauti na kipindi kilichopita? Anajiandaa hivi, kwani kuna nini hasa, au ameona na kugundua nini cha tofauti huko mbele?

Kwa maelezo yake mwenyewe, inaonekana tayari ame sense na kuingiwa hofu na kiwewe cha uchaguzi wa 2025, na kwamba amebaini kumbe kuna wananchi wengine wa Jimbo la uchaguzi la Kisesa wanaimendea nafasi ya ubunge wa Jimbo hilo muhimu la kisesa huko kanda ya ziwa..

ukimpima kwa kumtazama body language yake, tone yake anapo zungumza, ukicheki facial expressions yake, rangi ya mavazi yake na style ya mavazi yake na wasaidizi wake, aina ya printing ya vipeperushi na t-shirts,

ulinzi wake na aina ya watu anao ongozana nao, viongozi na wanasiasa anao ambatana nao kwenye mikutano yake, approach anayotumia kuwainfluence wananchi wake, ili wamuamini na kumkubali zaid n.k,
vinaashiria jambo fulani linaandalwa nyuma ya pazia...

Lakini jambo lingine muhimu zaidi kisiasa kwa muungwana huyu, ni ile chemistry na flow ya maswali ya wananchi na majibu ya mh. mbunge Luhaga Mpina hususani jana alipokua ziarani jimboni kwake, ilikua wazi rehearsal ilifanyika vizuri sana na performance in actions ilikua sawa sawia..

Kitu kingine muhimu sana kisiasa katika siasa za ndugu mpina, ni kukosekana kwa baadhi ya viongozi waandamizi muhimu wa CCM, wa kata na wilaya katika Jimbo analoliongoza Luhaga Mpina, na lakini pia hapakutolewa udhuru wa kiongozi yeyote. Mara zote muungwana ameambatana na diwani wa kata husika pekee. kulikoni iwe hivyo? hili nalo lina ujumbe mzito ulojificha dhidi ya uelekeo wa siasa za mh.Luhaga Mpina na mustakabali wake ndani ya CCM kuanzia kwenye Jimbo lake la Kisesa.

kibobevu zaidi,
unadhani Mh.Luhaga Mpina anawaandaa wananchi wake kisaikolojia kwaajili ya ujio wa chama kipya ambacho huenda anajipanga kuja nacho au anawaandaa wanakisesa kuhama nao upinzani?🐒

Mungu Ibariki
Ni sahihi kama anafanya hivyo kwa maslahi mapana ya nchi!
 
Ni kampeni chafu za WEZI na MAFISADI ambazo zinamfanya yeye atengwe na Viongozi ngazibya Jimbo, ambao wengi não wanaogopa kutengwa kama wataambatana na Mpina.
kwahiyo ni kampeni ya hofu right?

kwamba yeye ana hofu na wanao jitenga nae pia wanahofu ya kutengwa 🐒
 
Hamna wa kumkata Jina MPINA.

Wanajuaa ,wanajuaa na kama hawajui basi wajue MPINA ni Magufuli ni Makonda ni Dola, ni Nyoka.
hayo ya kukatana na mayoka dola yametokea wapi tena gentleman ,

au ni miongni mwa sababu za aina ya siasa anazofanya sasaivi?🐒
 
Hamna wa kumkata Jina MPINA.

Wanajuaa ,wanajuaa na kama hawajui basi wajue MPINA ni Magufuli ni Makonda ni Dola, ni Nyoka.
Mbona walimkata NEC mkoa na taifa? Alifanya nini? Ni hivi Mwenyekiti wa CCM ni zaidi ya mungu mtu anaweza amua lolote na hakuna wa kumfanya.

Mkiambiwa katiba mpya mnakua wakali, ila hamjui ndio escape route ya watu kama Mpina.
 
Wenye hofu kubwa ni wale wanaoteka na kuua wanaomkosoa Rais. Hawa wanaona kuwa Rais na Serikali yake wakiendelea kukosolewa, na kwa vile hawana uwezo wa kupangua hoja za wakosoaji, wanaona njia pekee ni kuwaua wakosoaji.

Mpina kama anaenda kwa hoja na ushawishi kwa wananchi, maana yake ana weledi, anaijua siasa, na hiyo ndiyo siasa. Tunaotakiwa kuwa na maswali nao ni hawa wanaotumia vyombo vya dola kuwaua watu ili kupata nguvu za kisiasa.
 
Back
Top Bottom