Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #201
wanasema ndoa kwa mwanamke ambaye yupo vizur kiuchumi haina umuhimu kwasababu inaweza sababisha uchumi wake kutetereka kwa sababu baadhi ya wanaume huwabana nakuchungwa muda wote pamoja na wivu uliotukuka hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao
Kuna wengine nyumbani hapakaliki, inabidi kwenda kuangalia mpira barNani huwa anakupikia? Ukiumwa nani huwa anakuhudumia bila malalamiko? Nani huwa anakupa kampani usijione pweke ulimwengu huu?
Kuna huyu dada mweusi mwanamziki huko marekani mwenye fedha zake, amesema hayuko tayari ndoa yake ivunjike na kuwa singo mama, atapigana atakavyoweza asiwe singo mama; unasemaje kuhusu hili?
Aliyekwambia tendo la ndoa ni MSAADA, kakuingiza chaka.Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
Mada yako imedharau wanawake.
Sio kweli kuwa wake WOTE hawana cha kuweka mezani.zaidi ya sex.
Mtoa mada kwa yeyote anayefuatilia nyuzi zako,wanawake.zako wote unaowaelezeaga ktk nyuzi zako ni wa hovyo na kwakuwa hao ndio unaokutana.nao ni vigumu kwako kupata wala kuamini kuna wanaume wenzio wenye wake.wana offer way more than sex.
Nataman ifutwe!
Asante kwa swali zuri mzee wa mademu wa hovyo🏃😁.Tuje kwenye hoja, kwa upande wako huwa unabeba majukumu yapi ya kumfanya mumeo haisi ana mke?
Ebu mlete huyo mzee aje atoe ushuhuda hapa yeye mwenyewe; wanaume tunaonewa sanaAsante kwa swali zuri mzee wa mademu wa hovyo🏃😁.
1)Nampa uhakika wa mim,yeye na watoto kula bata awe na kazi au hana.
2)Hatalazimika kutoa siri zetu nje kutafuta ushauri coz naamini tukikaa mezani nina uwezo wa kushauriana nae mambo mengi
3)Sipendi kupika wala kufanA kazi za nyumbani ila nina uwezp wa kuhakikisha kila siku anakula chakula kituri akipendacho na huduma zote anazostahili na siku nikiamua kupika mimi ni fundi wa mapishi ya kibongo na ya kimataifa.Mimi ninapila balaa ila atachagua yeye nishinde jikoni kumpikia na au tusaidiane kutafuta ma v8😁
4)Kitandani sina F wala A
5).....
6).......
7).....
5 6 na 7 siri yangu
Popoteee wapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili ndio zinarudi sasa, baada ya kuona unachopata unaweza pata popote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787].
Mwenyekiti km Mwenyekitiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa ni mkataba ambao upo kwa ajiri ya kulinda masilahi ya mwanamke, katika mkataba huu mwanaume utashurutishwa kisheria kutimiza wajibu wako lakini mwanamke kutimiza wajibu wake ni hiyari yake mwenyewe.
Marriage is amongst of all time premier scams invented by human beings.
mshamba_hachekwi kaniitie baba yako Mr. man😜😁Ebu mlete huyo mzee aje atoe ushuhuda hapa yeye mwenyewe; wanaume tunaonewa sana
Kama una mtoto mkubwa hivi mwenye ndevu kila mahali, inawezekana ulianza mapemamshamba_hachekwi kaniitie baba yako Mr. man😜😁
Kweli wewe ni babu wa mfano.Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;
Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).
Anasaidia malezi ya watoto wetu
Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Shukrani Mjukuu🙏Kweli wewe ni babu wa mfano.
Babu,nimekosa muda wa kwenda feriry kununua pweza,siwezi kuja kukuletea kiko mikono mitupu nataka nikifika nikupikie supu ya pweza babu yangu unywee huku unavuta kiko.Shukrani Mjukuu🙏
Japo una muda mrefu hujaniletea Kiko pamoja na kukumbushia mara kadhaa 😜
Kuna point za kisiasa unazivuna ukiwa na ndoa tena iliyotulia.Swali zuri sana..... nami naomba kujibu kama ifuatavyo, ndoa sio tendo la ndoa tu, sasa ukiacha tendo la ndoa yapo yafuatayo:
1. Ulinzi wa mali zako, mwanamke aliye mke wako atajitahidi kulinda mali zako huku akifikiria kuna kesho maana yake anawaza future ya maisha yenu, wengi wakiambiwa kuna kesho huwa wanawaza labda kufa, hata usipokuwa kesho inakuja.
2. Anakupatia watoto, hii unaweza sema aah! nitazaa huko nje, mke akizaa anakuwa na kiu ya kuongeza uzao wako na anawatunza watoto kwa mapenzi yote kwa sababu anajua mume wake uko pembeni, kumbuka kuzaa sio kazi, kazi kulea mwana.
3. Mwanamke ataunganisha familia, kiuhalisia kuna familia ndugu hawaelewani, uwepo wa mke anakuwa mtu kati(mediator) na hapa upate mke sahihi wengine wanakuja kugombanisha.
4. Mke ni msaidizi wa mwanaume, na hapa sio usaidizi wa kazi za ndani noo, ni kumsaidia mwanaume kutimiza malengo yake, kumbuka malengo ya mwanaume ndo huwa malengo na msimamo wa familia, mwanamke hawezi kuja na ya kwake lazima atasimama na kumsupport mume, kumbuka hakuna mwanamke atapenda kusemwa kwamba hapo shost ulikosea kuchagua, kwahiyo hata kama mwanaume hayuko njema kiuchumi, atasaidiwa, tuna mifano kuna wanaume hata mahari walisaidiwa na wake zao.
5. Mke anakuletea Heshima katika jamii, sio heshima tu na kuaminika, kuna nyumba ukienda kupanga hujaoa au kuolewa huruhusiwi kwanini unaonekana huna heshima, huwezi kuwa Raisi wa nchi hii hujaoa, ukiachana Katoliki mengine huwezi kuwa Askofu hujaoa: Kiufupi kama haujaoa au kuolewa unawekwa kundi la wahuni, kama ndugu zangu kataa ndoa
Ila akiba ndio ya kuitumainia! Utalia sana ukiwa mzee wewe!Ukitaka kuishi vizuri hapa Dunian hakikisha unajitegemea kwa 100% hasa katika uzee wako. Tumia nguvu zako piga kazi ujiwekee akiba ya uzeeni, mwanadamu siyo wa kumtumainia.