Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Wewe Mjukuu unajua sana kunijali Babu yako, umefanya nikuandikie pembeni password yangu ya akaunti ya Pension...Babu,nimekosa muda wa kwenda feriry kununua pweza,siwezi kuja kukuletea kiko mikono mitupu nataka nikifika nikupikie supu ya pweza babu yangu unywee huku unavuta kiko.
Sasa ndiyo usimwambie Bibi yako tu 😜