Wewe Mjukuu unajua sana kunijali Babu yako, umefanya nikuandikie pembeni password yangu ya akaunti ya Pension...Babu,nimekosa muda wa kwenda feriry kununua pweza,siwezi kuja kukuletea kiko mikono mitupu nataka nikifika nikupikie supu ya pweza babu yangu unywee huku unavuta kiko.
🤣🤣🤣Bibi nammudu usijali babu...Wewe Mjukuu unajua sana kunijali Babu yako, umefanya nikuandikie pembeni password yangu ya akaunti ya Pension...
Sasa ndiyo usimwambie Bibi yako tu 😜
Usisahau Kiko yangu tu 🤗🤣🤣🤣Bibi nammudu usijali babu...
Sijasema kutumainia akiba ila kuiandaa! wa kutumainiwa katika nyakati zote ni Mungu peke yake.Ila akiba ndio ya kuitumainia! Utalia sana ukiwa mzee wewe!
Unamaanisha wanawake wanaolewa kwa sababu ya kiuchumi (pesa)Wanaume wengi hufa mapema sababu ya direct au indirect pressure toka kwa wake zao. Mwanaume akipata maendeleo kinachofuata ni ndoa ilihali mwanamke akifanikiwa kinachofuata ni talaka. Wanawake wengi wakiwa huru kiuchumi huwa hawana time na ndoa.
Tangu zamani hiyo ndo ilikuwa desturi(>90%) ila kwa sasa kadri wanawake wanavyozidi kujitegemea kiuchumi ndivyo ambavyo ndoa zinavyozidi kupoteza uelekeo.Unamaanisha wanawake wanaolewa kwa sababu ya kiuchumi (pesa)
Anakusaidia kulea watoto wako,anakupikia chakula na kukufulia nguoWengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?