ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndo nimeacha sasaUshachelewa
OkNdo nimeacha sasa
Na mie ndio nilikuwa mtetezi mkubwa wa Serikali humu jf lakini sipati hata mia yaani nafanya kazi ya kujitolea kutetea majizi.Rais anatakiwa aoneshe makali haiwezekani tukamuliwe mitozo, bundle ziongezwe bei afu kuna mbwa wanakula bure tu
Bora hata!Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Mapema hv unashusha silaha we sio askari hodariKupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Kujitolea ni kazi ngumuMapema hv unashusha silaha we sio askari hodari
Mwanangu kwa juhudi yako humu walah mi huwa najua ushalamba kitengoKujitolea ni kazi ngumu
Mapenzi tuu ya aliyepo jikoni ila na mie ntakuwa mtazamaji sasaBora hata!
Lakini sijui mnapata wapi ujasiri wa kuitetea serikali!
Rais Samia: Hili nalo mkalitizame.Rais anatakiwa aoneshe makali haiwezekani tukamuliwe mitozo, bundle ziongezwe bei afu kuna mbwa wanakula bure tu
Yaani Mimi ni raia tuu ndugu sema nikimkubali mtu nampambania ila Sasa naacha nafanya mambo yangu.Mwanangu kwa juhudi yako humu walah mi huwa najua ushalamba kitengo
Usikate tamaa jamaa yangu , upo karbu na kanaani , teuzi zijazo hukosi 😁Yaani Mimi ni raia tuu ndugu sema nikimkubali mtu nampambania ila Sasa naacha nafanya mambo yangu.
Aha ha a a karibu sana team Chato tumetumia NGUVU nyingi kukuelewesha lakini ukawa kichwa ngumu na kutukana watu matusi humu.Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Sina sifa ya kuteuliwa za kielimu Wala sio mwanachama wa CCM,Mimi ni raia nakula jasho langu.Usikate tamaa jamaa yangu , upo karbu na kanaani , teuzi zijazo hukosi 😁
Usiweke mapenzi Kwa mtu wala serikali. Mapenzi yako yajikite kwenye mfumo! Mfumo imara utakuwepo lakini watu imara watapitaMapenzi tuu ya aliyepo jikoni ila na mie ntakuwa mtazamaji sasa
Kulikuwa na raisi shetani asiyependa ujanja ujanja asiyependa watu kuwa na vyeti feki sasa tuna raisi mcha mungu anaiponya nchi alisikika mbowe akisema kwenye hutubu ya bawachaKupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha....