ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni wazi Tanzania inashirikiana zaidi kiuchumi na Nchi za Asia ya mbali na Middle East Kibiashara na kiuchumi kuliko Nchi za Mabeberu.
Kwa data hizi hakuna Nchi yeyote ya Kibeberu inaweza yumbisha Tanzania.
Huu ni ujumbe tosha Kwa vibaraka wao ,wasome na waelewe.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DE5ADBGIgTK/?igsh=bjVwejJ2bDN3dW1r
Kwa data hizi hakuna Nchi yeyote ya Kibeberu inaweza yumbisha Tanzania.
Huu ni ujumbe tosha Kwa vibaraka wao ,wasome na waelewe.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DE5ADBGIgTK/?igsh=bjVwejJ2bDN3dW1r