Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za wapinzani kushindwa kusimamisha wagombea kwenye vituo vyote ni zipi?Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024
ENEO LA UCHAGUZI IDADI CCM UPINZANI WOTE CCM PEKEE MITAA 4,265 4,265 3,256 1,009 VIJIJI 12,274 12,274 5,879 6,395 VITONGOJI 63,863 63,863 20,000 43,863 80,402 80,402 29,135 51,267
Baada ya kurekebisha 😂😂😂Rudi kasome tena
ni ufala wao tu mfano uku kwetu mgombea wa chadema ni katibu wa tawi, kwenye fomu za taratibu na Sheria za uchaguzi ya namba 12, inasema mwanachama azaminiwe namwanachama mwezie ambae ni kiongozi wake wa shina, sasa yeye kwenye fomu yake kajizamini mwenyewe kisa tu yeye ndio katibu, sehemu ya mgombea yeye mdhamini yeye alafu na muhuri yeye, Ebu CHADEMA KUWEZI SERIOUS BASISababu za wapinzani kushindwa kusimamisha wagombea kwenye vituo vyote ni zipi?
Sababu za wapinzani kushindwa kusimamisha wagombea kwenye vituo vyote ni zipi?
