Kwa teuzi za kichawa na tenguzi za majungu kama hizi, tusahau kuhusu maendeleo

Kwa teuzi za kichawa na tenguzi za majungu kama hizi, tusahau kuhusu maendeleo

Kachapane na familia yako mimi napenda amani. Ukraine wote wale wenye umri kati ya miaka 18 na 60 walilazimika kubaki nchini mwao kupigania nchi yao wakati wake na watoto wao wanaruhusiwa kuvuka mpaka kwenda nchi jirani. Tujifunze kulinda amani yetu. Wewe nadhani hata vita na Idd Amin hukuishuhudia ndo maana unabwabwaja ovyo ovyo. Tuilinde amani yetu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Huu usemi wa kulinda Amani yetu ni wa kipumbavu kabisa.
Amani ipi wakati familia zikotaabika kwa mlo mmoja?
Amani ipi wanyonge wakilala giza na viongozi wakilala unono?
Amani ipi Bandari zikiuzwa kwa wajomba?

Wenye Amani ni wale wanaolamba asali ?
Wenye Amani ya nchi hii ni wateule wa Rais na machawa wao!
Eti Amani yetu.....
Ipi hiyo?
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
Imeandikwa wapiii kwamba kutenguliwa kiongozi kutoka kwenye nafasi yake kwamba maana yake kakosea?? Sio kila anayetenguliwa maana yake kakosea. Ondoa imani potofu
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
Viongozi ni walewale , kinachofanyika ni kutolewa goli la kusini kupelekwa goli la kasikazini. Hata wale ambao waliwahi kuwa hukooo nyuma utashangaa wanapigwa suti mpyaaa sasa hivi bila ya kujali huko nyuma aliboronga vipi.
 
Kachapane na familia yako mimi napenda amani. Ukraine wote wale wenye umri kati ya miaka 18 na 60 walilazimika kubaki nchini mwao kupigania nchi yao wakati wake na watoto wao wanaruhusiwa kuvuka mpaka kwenda nchi jirani. Tujifunze kulinda amani yetu. Wewe nadhani hata vita na Idd Amin hukuishuhudia ndo maana unabwabwaja ovyo ovyo. Tuilinde amani yetu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Msamehe bure wengine ni maziwa mdomoni, watoto wa miaka ya juzi.
 
Kama taifa tuna ombwe kubwa sana katika kufanya vesting ya viongozi wetu,hakuna weledi na tafakari sanifu yenye tija bali uchawa na kujuana.

Honorable causa amekuwa raisi wa teuzi na tenguzi,badala ya kusimamia miradi ya kimkakati ya serikali yenye tija kwa wananchi.
 
Kachapane na familia yako mimi napenda amani. Ukraine wote wale wenye umri kati ya miaka 18 na 60 walilazimika kubaki nchini mwao kupigania nchi yao wakati wake na watoto wao wanaruhusiwa kuvuka mpaka kwenda nchi jirani. Tujifunze kulinda amani yetu. Wewe nadhani hata vita na Idd Amin hukuishuhudia ndo maana unabwabwaja ovyo ovyo. Tuilinde amani yetu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Acha upumbavu wewe yaani unatoa mifano isiyokuwa na uringanifu kabisa.Hivi Ukraine na viongozi wa Tanzania kutoleta maendeleo kupitia teuzi za maana na uhakika Kuna uhusiano gan?
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
MAMBO YA AJABU SANA UNA SHINDWA KAZI UNAPANGIA KAZI NYINGINE
 
Ndio anachokiweza zaidi ya hapo hamna kitu
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
hata km kuna mvua na matope eti mama anaupiga mwingi
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
😆😆😆😆
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
Utatumia? Salalee kiswahili kililetwa na Waarabu
 
View attachment 2759497

Nitatumia utenguzi na uteuzi wa huyu DC kama mfano ktk uzi wangu.

Huyu alikuwa DC wa Temeke, akatenguliwa 02 June 2023. Na leo 23 Septemba 2023 ameteuliwa tena kuwa DC wa Mtwara.

Ndiyo kusema mwanamama huyu alipoteza sifa ya kuwa DC mpk kufikia hatua ya kutenguliwa 02/06/2023 lkn siku 90 (miezi 3) tu baadaye amepata sifa za kuweza kuteuliwa tena kuwa DC??

Kwa vyovyote vile huwezi kupata majibu ya swali hili. Badala yake ishie tuhitimishe tu kwa kusema uteuzi hufanywa kwa misingi ya uchawa na utenguzi hufanywa kwa majungu.

Sifa za uongozi hazizingatiwi ndiyo maana hatuoni mabadiliko ktk maendeleo zaidi ya kuona mabadiliko ya sura za viongozi.
samia pamoja na ushungi wake ana roho mbaya sana yule mama.
 
Kachapane na familia yako mimi napenda amani. Ukraine wote wale wenye umri kati ya miaka 18 na 60 walilazimika kubaki nchini mwao kupigania nchi yao wakati wake na watoto wao wanaruhusiwa kuvuka mpaka kwenda nchi jirani. Tujifunze kulinda amani yetu. Wewe nadhani hata vita na Idd Amin hukuishuhudia ndo maana unabwabwaja ovyo ovyo. Tuilinde amani yetu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
[emoji2956][emoji2956][emoji7][emoji7][emoji120]
 
Back
Top Bottom