Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

Huu mtaji ni mdogo kwa biashara zote mbili. Uwakala ili ukulipe lazima mtaji uwe mkubwa na mzunguko uwe mkubwa. Mzunguko wa 5m kwenye uwakala unaweza ambulia 150,000 or less kwa mwezi. Commission sio kubwa kwenye miamala.

Upande wa probox kwa 5m utapata iliyochoka sana hivyo hela itakayozalishwa itaishia kwenye matengenezo

Way forward?
 
Katika utafutaji wa pesa, nothing is risk-free. Siyo muoga wa kupoteza ... am risk taker.

Asante kwa insights.
Risk zinatofautiana. Kama vipi fuata mirungi Kenya uje uuze ama bangi hapo Tarime uilete mwanza utapiga hela. Risk zipo Ila zinatofautiana. Hata huko kwenye miamala utaibiwa ukikaa kizembe
 
Uwakala wa bank haitoshi kuna wateja watataka kudeposit 10 million wengine watahitaji cash! Na vipi utatumia bank ngapi?
Maana kila bank itataka uwe na mtaji wa 3 million.

Na inatakiwa at least uwe na CRDB na NMB ndio bank zenye wateja na pia uweke uwakala wa mitandao ya simu ili kamisheni ziwe nyingi

Na gari kwa hiyo pesa utapata mkweche trip shamba, trip garage.
 
fungua uwakala wa bank na mitandao ya simu mambo ya magari hayaeleweki unaweza ukashangaa limewaka moto au limepata ajali sikushauri

mkebe kuwaka moto ama kupata ajali... too bad unapata ajali mbaya na kuua mtu... chombo kwaheri + traffic case.

Uwakala wa bank wadau wanasema napo kuna kutapeliwa ama kuvamiwa na wazee wa 'toa ndugu ulichonacho'...

Risk assessment + damage control management...

Gademn this life.

Shukrani mkuu kwa ushauri.
 
Huu mtaji ni mdogo kwa biashara zote mbili. Uwakala ili ukulipe lazima mtaji uwe mkubwa na mzunguko uwe mkubwa. Mzunguko wa 5m kwenye uwakala unaweza ambulia 150,000 or less kwa mwezi. Commission sio kubwa kwenye miamala.

Upande wa probox kwa 5m utapata iliyochoka sana hivyo hela itakayozalishwa itaishia kwenye matengenezo
Kwa upande wa kwanza nakataaa🌝🌝
 
Risk zinatofautiana. Kama vipi fuata mirungi Kenya uje uuze ama bangi hapo Tarime uilete mwanza utapiga hela. Risk zipo Ila zinatofautiana. Hata huko kwenye miamala utaibiwa ukikaa kizembe

Risk assessment & management...

Kutia kiberiti sheli... Get rich or die trying!

nimekusoma mwamba.
 
Fanya miamala mdg angu au njoo nunua tv hz za inch 32 kwa laki 180 ukauziee huko wasukuma kwa 250000 ukiwa na tv kumi na tufivaaa vya umeme kdg na tili la mpesa hapohapo utatokaa vzr tu Wala usinunue hayo magari Sasa hv

Nicheki nikupe muongozoo
 
Uwakala wa bank haitoshi kuna wateja watataka kudeposit 10 million wengine watahitaji cash! Na vipi utatumia bank ngapi?
Maana kila bank itataka uwe na mtaji wa 3 million.

Na inatakiwa at least uwe na CRDB na NMB ndio bank zenye wateja na pia uweke uwakala wa mitandao ya simu ili kamisheni ziwe nyingi

Na gari kwa hiyo pesa utapata mkweche trip shamba, trip garage.

Cute wife must be cute lady...

Kwenye uwakala wa bank... nafikiria bank mbili (Nmb & crdb) for start up.

Naweza ongezapo 1M ili ziwe 6M, i.e 3m per bank.

Hapo vipi?
 
Kwa upande wa kwanza nakataaa🌝🌝
Nimeeleza from my own experience. Unachokatwa kwenye makato ya miamala sio anacholipwa wakala. Mtaji wa 5m ukiamua kuiweka float kwenye mtandao let say wa voda unaweza ukahudumia watu wawili au watatu ukajikuta huwezi kutoa huduma kwa either kuwa na float bila cash or kuwa na cash bila float. Kwa maneno rahisi ili shughuli ya uwakala ikulipe unahitaji mtaji mkubwa na mzunguko
 
Huu mtaji ni mdogo kwa biashara zote mbili. Uwakala ili ukulipe lazima mtaji uwe mkubwa na mzunguko uwe mkubwa. Mzunguko wa 5m kwenye uwakala unaweza ambulia 150,000 or less kwa mwezi. Commission sio kubwa kwenye miamala.

Upande wa probox kwa 5m utapata iliyochoka sana hivyo hela itakayozalishwa itaishia kwenye matengenezo
Sasa afanye kipi kwa 5m manake umeishia kumkatisha tamaa tu bila kumpa njia mbadala ya kuweka hiyo pesa yake ili izae.
 
Back
Top Bottom