Na ofisini akae mwenyeweFungua uwakala wa bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ofisini akae mwenyeweFungua uwakala wa bank
Bila kusahau mbususu au sio? [emoji3][emoji3]Kula bia bwege wewe
Uza maji kwenye mkokoteni. Iliyobaki mtafute Wema mkale bia kidimbwi au wavuvi kempuSasa afanye kipi kwa 5m manake umeishia kumkatisha tamaa tu bila kumpa njia mbadala ya kuweka hiyo pesa yake ili izae.
Tembea na miamala hautajuta
Usifanye makosa kwenye target ya eneo
Ila je leseni ya biashara iliyo kaa miezi 12+ unayo?
Ukihonga utapata tena kama uko mkoani chap tuLeseni 3 tofauti with 2 months old.
Ni compulsory requirement?
Lakini, Penye NO nitaweka YES... I am capable of penetrating a 'NO ENTRY' DOOR.
Thanks a bunch mom for your valuable clues.
Hawatokusikliza sababu sjatukana mtu na sjamdharirisha mtu pia acha roho mbayaWewe Munch wa annabelletz47 unaweka dislike kila sehemu .Acha utoto Moderator hebu shughulikia huyu Munch
Hawatokusikliza sababu sjatukana mtu na sjamdharirisha mtu pia acha roho mbaya
Boss mi nahitaji hizo tvFanya miamala mdg angu au njoo nunua tv hz za inch 32 kwa laki 180 ukauziee huko wasukuma kwa 250000 ukiwa na tv kumi na tufivaaa vya umeme kdg na tili la mpesa hapohapo utatokaa vzr tu Wala usinunue hayo magari Sasa hv
Nicheki nikupe muongozoo
Cute wife must be cute lady...
Kwenye uwakala wa bank... nafikiria bank mbili (Nmb & crdb) for start up.
Naweza ongezapo 1M ili ziwe 6M, i.e 3m per bank.
Hapo vipi?
Ana kipele, kwahiyo anatakiwa kukunwa. Hapo anajiona nae mjaaanjaaa kumbe ushamba tuNaona umerudi kivingine (Ye34nbe).
Kubali kubadilika, ndio kanuni ya maisha.
(Dislike na nzuri ) wanalalamika kwel watanzania wanafik wanapanga hadi emoj za kuwapa kwenye post zaoNaona umerudi kivingine (Ye34nbe).
Kubali kubadilika, ndio kanuni ya maisha.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ongeza ifike 10million kisha weka kwenye hizo account za bank kila moja 3million, jumla inakuwa 6million, 3million kaa nayo cash kwaajiri ya wanaotoa na 1million weka huduma za mitandao km M-pesa Tigo pesa na mingine unayoona ina wateja eneo husika
Bila kusahau funga na camera hii itakusaidia kubahini movement za wateja wachoraji (Matapeli na wezi) na pia kwa kijana utakayemuweka km mwenyewe hutoshinda hapo
Mwenzio kuandika sio mzuri lakini nina Imani utakuwa umeelewa kwa uchache