Pascal Mayalla aliuliza swali la msingi la kikatiba mwaka 2016 ajabu akajibiwa kuna mhimili umejichimbia chinchini zaidi.
Je kwa jibu hilo wapi kwenye katiba ilianishwa mhimili mmoja ndio ujichimbie chini zaidi ya mwingine wakati yapaswa iwe na "checks and balances"
Kuanzia hapo wenye akili tulielewa nchi inaendeshwaje.