Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote


Kwa ninavodhanii sikuiz watumish wapo wengii...wapo piaaa wanaotumika na nguvu za giza kwa kivuli cha dini (hii sijamshtumu mtu ila wapo wengi tu) lakini pia waliotumwa kufanya kazi ya Mungu kiukweli pia wapo...My take...tuheshimu dini za wenzetu ata kama hatuamini katika dini izo....Simama na imani yako ila heshimu dini nyingine....Kudhihaki au kushtumu dini nyingine direct ni Dhambi ya kujitakiaa kabisa
 
Aseee n hatar,watu hawatak habar njema,huu n uchawi wa wazizi wazi.
 
Halafu utasikia uislamu ni unyenyekevu ila matendo yao sasa!
 
Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengine
 
Kumetokea kundi la vijana ambalo kazi yao ni kupinga chochote kinachoelezea kuhusu Mungu. Sasa kama wao wanapinga, watuache sisi tunaofuatilia na kukiri matendo ambayo Mungu ametutendea wao waendelee na threads zingine.
Wengine wachaw humu ata usihangaike nao,zikija mda ya kipuuz wako vzur kwel kuchangia.Ila mada za maana au Mambo ya Mungu wanajua kupinga Kama Wendawazim flan ivii,mm naona nguvu ya Mungu ina wachoma.
 
Muongo mkubwa lengo lake lilikua kudhalilisha uislamu tu hamba jingine, kulikua na haja gani kutaja dini nyingine, watu kama hao wana chuki na dini ya uislamu bila kuitaja taja hawapati usingizi.
 

Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengine
Mimi naamini Mungu, anaponya kwa kumuomba au kuombewa, ila mpaka uwe unaamini Mungu, usiwe Muamini Miujiza.
 
Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengine
Labda mie sijui maana huyo mama kaigiza for all these years ili kakobe akija aende kuombewa? Labda.
 
Kataa matapeli 🤣🤣🤣hakuna shuhuda za kweli maana tunao wengi hapa tunachangia pesa za matibabu ..
Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?
 
Kama unakili kuna watumishi wengine wanatumia mpaka ulozi, kuna tofauti gani na nilichokiandika.

NIkiandika mimi siheshimu dini za watu, ila ukiandika wewe sawa tu.
 
Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?
Hakuna shekhe majini ,kqtaa utapeli 🤣🤣
 
Uache ujinga huu.
Hata Yesu hakuponya watu wote bali waliponywa waliotaka kuponywa.

Yesu huponya na huponya wenye imani.
Ukubali ukatae Yesu huponya.
 
Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?
Mungu anaponya kwa maombi, ila hao akina Sharif majini ni aina ya hao wachungaji wanauza mafuta fulani, maji kikombe cha pili.
 
Ikiwa ushuhuda wako ni wa kweli, basi kipo kitu Mungu amepanda ndani yako kwaajili yake, Ndio maana sio wagonjwa wote wanapona ila akapona mama yako na hilo likakuingia moyoni sana, Basi nakuombea kwa Mungu upate nafasi wakati mwingine ya kusikiliza mafundisho kuhusu Yesu, pamoja na kwamba una heshimu ila vema ukapiga hatua mbele tena kujua habari zaidi za Yesu Kristo. Usiogope kabisa kuhusu dini yako hata kama ikitokea ukabadili basi utabadili kwa maamuzi sahihi ambayo utakuwa nayo kwa muda huo. Mwenyeenzi Mungu akubariki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…