Aise! Naamuru malaika wa Mungu wakukamate hapo ulipo na kisha uje ushuhudie mwenyewe kuwa Mungu yu hai na ni wewe ambaye hujui kuwa hujuiNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hamnaga Mungu wa mhemuko kama huyu wa kwenu.Aise! Naamuru malaika wa Mungu wakukamate hapo ulipo na kisha uje ushuhudie mwenyewe kuwa Mungu yu hai na ni wewe ambaye hujui kuwa hujui
Kuna Kipindi Inafika madoctor wanashindwa wanakwambia mpelekeni t nyumban au kwenye Imani zenu mnazo amini na mtu anapelekwa anapona kabisaNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Leo kabla jua halijazimika, utakiri kuwa Yesu ni Bwana!Hamnaga Mungu wa mhemuko kama huyu wa kwenu.
Mimi ni Mkristu tena Mkatoliki, dini ilikoanzia yapata miaka 2000 iliyopita lakini huniingizi kwenye huo upuuzi wenu wa kudanganya eti mnaponya watu.Leo kabla jua halijazimika, utakiri kuwa Yesu ni Bwana!
Hata hujui kuwa dini haikuanzia Kwa wakatoliki sasa nikusaidiaje? Subiri ataleta ushuhuda hapa...Mimi ni Mkristu tena Mkatoliki, dini ilikoanzia yapata miaka 2000 iliyopita lakini huniingizi kwenye huo upuuzi wenu wa kufanganya eti mnaponya watu.
Nyie walokole mumekuwa frustrated halafu manakutana na watoto wa mjini kutoka Tukuyu akina Mwamposa, Lusekelo na Mwakasege. Lazima mudanganyike sana na mpagawe
Hii ni hadithi ya kutunga ili kumproti huyo nabii feki. Jitahidi utawapata wenye roho nyepesi
Yaani we mwenyewe hujielewi[emoji1787].Mungu yuko mmoja tu aliyehai. Hao manabii wenu ni matapeli tu. Najuwa huwezi kukubali wala kuelewa umekwishatekwa vibaya
Kuna jamaa mmoja kabila moja maarufu sana Kigoma tulipanda nae basi la Allyz tokea Dodoma, siku ile ndio niliamini hawa jamaa ni kweli wabishi, tena ubishi wa KIJINGA kabisa, jamaa pila kupepesa macho anabishana abiria kwenye basi kwamba Arusha sio Mkoa bali ni sehemu ya Kilimanjaro aisee nilikuwa namwangalia usoni na anavyojiamini nikaamini kweli hii Dunia kuna watu wanamatatizo ya akili.Humu Kuna wagonjwa wa akili wengi,yaan humjui mtu kaja na mkasa wake afu unaanza kubisha,mnacho bisha nn Sasa?Wachawi hebu punguzen hasira mkisikia Mambo ya Mungu mbona mnaungua ivyo?.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mshindwe na mteketee
Unaweza kuipima imani ya mtu kwa kutumia nini?Uponyaji wa Imani unafanyika Kwa Imani. Sasa anaendaji Ocean road Kwa wagonjwa ambao hawajawa na Imani hiyo????
ulitaka mama ake afe kavaa hijabu etiNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hao jamaa usije hata mara moja ukawasikiliza naamini kwa uelewa wa kawaida mtu anaekaa akatafakari jambo hawezi elewa huo ujinga,ridhiki zetu anapanga Mungu sasa kuna nini cha ziada kinafanyika hadi mimi tu niuze?je siku nikijisikia week nzima nipike mapishi yaliyojaa kutosha mzunguko wa wateja wa mtaa husika ni kusema hawa wenzangu watalala njaa si ndiyo?Nikipata tatizo kubwa, mfano changamoto ya magonjwa yaliyoshindikana hospital mtu wa dini akaniponya, nitaamini anachoamini.
Jumapili iliyopita ni kiwa kwenye gari moja, nilisikia shuhuda mbalimbali toka kwenye radio ya gati, sijui ilikua radio gani, ila kuna mchungaji ana kikombe kipya, kupitia kikombe kipya, watu hupata uzazi, kuona magonjwa, biashara yako kama huuzi unauza.
Ila kilichoniacha hoi simulizi ya Dada mmoja, aliejitambulisha kwa majina mawili ambayo waislamu hutumia, Yeye ni Dada lishe alikua hauzi ila tangu apate kikombe kipya, maji yake akaenda kumwagia sehemu ya biashara, wateja wote wanakula kwake tu, kwa wengine mpaka amalize yeye.
Nikatafari nikajiuliza inayofanya kazi ni nguvu ya Yesu au nguvu ya ulozi.
Ni huu ujumbe wa Mwakasege ndio ilikua target ya thread? How comes member mwingine kaingilia kati na kujua mtumishi aliyehudumu?ndio mwenyewe
ππππ Ila waha wamezid,unaweza ukajikuta unamrukia mtu kwahasira ukapata kesi.Kuna jamaa mmoja kabila moja maarufu sana Kigoma tulipanda nae basi la Allyz tokea Dodoma, siku ile ndio niliamini hawa jamaa ni kweli wabishi, tena ubishi wa KIJINGA kabisa, jamaa pila kupepesa macho anabishana abiria kwenye basi kwamba Arusha sio Mkoa bali ni sehemu ya Kilimanjaro aisee nilikuwa namwangalia usoni na anavyojiamini nikaamini kweli hii Dunia kuna watu wanamatatizo ya akili.
Usishangae mkuu mtu hamjui mleta mada ila anambishia tukio lake dah hatari sana.