Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Ndugu mtoa Uzi usitegemee baath ya watu watakuamini kwa hbr ya uponyaji, wkt WA Yesu walikua wanaona life na hawamini.
Watu wanaamini Mungu ila wanaxikana nguvu zake

Ni kweli
 
FAmilia yangu imeingia Uktisto nikiwa na umti mdogo, ndugu zetu kwa 98% ni waislam na baba mkubwa ni shekhe.
Baba na familia yangu iliingia Ukristo kwa baba kuponywa ugonjwa uliomtesa kwa muda.

Nimeshuhudia kwa macho watu wakiponywa.
Nimeona watu wakiponywa nikiwa zero distance.
Nimeona miujiza mingi isiyoelezeka.

Hivyo kwangu...Yesu ni mponyaji
Uongo wa karne huku uchagan uislamu haupo kabisa😅😅
 
Mungu yupo
Mungu ana okoa Mungu anaponya ana bariki na kutakasa!
Aiseeehhh kuna tukio lilinitokea binafsi mpaka waleo ninajua na ninaamini hakuna nguvu ya giza itayoelekezwa kwangu ikafanikiwa!!

Acheni Mungu aitwe Mungu!

GOD IS GREAT!
 
Njoo kwa Yesu haraka willingly usisubiri ukutane na mitihani ya mauti.
Yesu ni Bwana
Ni kweli kwanza ukienda Muhimbili Amana, Temeke na hospitali zilizoko Dar na mikoani Wagonjwa siyo Wakristo. Wakridto. hawakutani na mitihani.
 
Mungu yupo
Mungu ana okoa Mungu anaponya ana bariki na kutakasa!
Aiseeehhh kuna tukio lilinitokea binafsi mpaka waleo ninajua na ninaamini hakuna nguvu ya giza itayoelekezwa kwangu ikafanikiwa!!

Acheni Mungu aitwe Mungu!

GOD IS GREAT!

Amin
 
Amini usiamini ni ww sikulazimishi baba ila mama yangu yu mzima wa Afya hilo tu
Mallia hakuna jina hilo labda baba yako ni muislamu ,ila umelelewa na single mother ambaye ni mkristo 😅😅😅
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Kumbe umeishia hapo ulipoishia? Nafikiri ungesoma ukamaliza uzi wa mdau hapo ungejua nini kilitokea kwa yule mgonjwa. Kwa ufupi Yesu wa Nazarethi ndiye aliyemponya. Ni kuamini tu unapona maana hao madaktari walishashindwa.

Lkn pia haikwepeki kuwa bila Yesu hufiki peponi Maana biblia inasema yeye ndiye njia na uzima. Lakini haiishii hapo imeandikwa pia kua Yeye ndiye Mwanzo na huyo huyo ndiye Mwisho. Na kwa kumalizia, Mbele yake kila goti litapigwa. Nakukaribisha ndg umwamini huyu Yesu.
 
Kumbe umeishia hapo ulipoishia? Nafikiri ungesoma ukamaliza uzi wa mdau hapo ungejua nini kilitokea kwa yule mgonjwa. Kwa ufupi Yesu wa Nazarethi ndiye aliyemponya. Ni kuamini tu unapona maana hao madaktari walishashindwa.

Lkn pia haikwepeki kuwa bila Yesu hufiki peponi Maana biblia inasema yeye ndiye njia na uzima. Lakini haiishii hapo imeandikwa pia kua Yeye ndiye Mwanzo na huyo huyo ndiye Mwisho. Na kwa kumalizia, Mbele yake kila goti litapigwa. Nakukaribisha ndg umwamini huyu Yesu.
Yesu ni mzuri sana. Nikitaka, kwa Jina la Yesu ewe mungu wa kikuresh njoo kwa kupiga magoti anatii na kuja. Nikimuamuru arukeruke kichupa anaruka ruka. Kwa kuwa wamefungwa na Ibilisi hawaoni wala kutambua hilo ila.ni kweli, Yesu ni halisi na ana mamlaka na uweza wote.
 
Back
Top Bottom