Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Shabiby hana mpinzani hii nchi
Natamani asambaze gari zake direction zote

Apeleke na Dar Mbeya,,hii route ukitoa ABC na na New force,hakuna gari ingine inayoeleweka
Shabiby alienda Dar Mbeya juzikati tu hapa kachomoa hata mwezi hajamaliza

Kuhusu kuwa na mpinzani.. i bet haujaexplore bado kwa wengine [emoji3]

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom