Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Sina idea yeyote ya safar ktk Kanda zingn boss mi najua kaskazini na huku Pwani, 😁😁 nlikuw naona gari inatoka mwanza inaenda Moshi inaitwa mgamba imezeeka zeekaHilo la uchakavu ondoa maana Kuna maeneo huwa mabasi ni chakavu Sana na ni kampuni moja tu mfano mwanza sumbawanga ni kampuni ya RUCHORO tu ndo hufanya safari hizo....mabasi yake Sasa.