Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Hilo la uchakavu ondoa maana Kuna maeneo huwa mabasi ni chakavu Sana na ni kampuni moja tu mfano mwanza sumbawanga ni kampuni ya RUCHORO tu ndo hufanya safari hizo....mabasi yake Sasa.
Sina idea yeyote ya safar ktk Kanda zingn boss mi najua kaskazini na huku Pwani, 😁😁 nlikuw naona gari inatoka mwanza inaenda Moshi inaitwa mgamba imezeeka zeeka
 
Sina idea yeyote ya safar ktk Kanda zingn boss mi najua kaskazini na huku Pwani, 😁😁 nlikuw naona gari inatoka mwanza inaenda Moshi inaitwa mgamba imezeeka zeeka
Hahaaaa....sawa mkuu Kuna maeneo unakuta tajiri ni mmoja tu na gari ni mbili.....zinapokezana yaani ni spana mkononi
 
Hilo la uchakavu ondoa maana Kuna maeneo huwa mabasi ni chakavu Sana na ni kampuni moja tu mfano mwanza sumbawanga ni kampuni ya RUCHORO tu ndo hufanya safari hizo....mabasi yake Sasa.
[emoji3][emoji3] kwa nn usiende hadi Mpanda then Mpanda ukamalizia kwenda Swax na gari za Mpanda Mbeya au Mpanda Swax

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Magari gani Mwanza Moshi saiv yapo hot
Nyehunge Express

Masalu High Class

Isamilo Express

Kisesa ExpressView attachment 2718321
20230731_121833.jpg


Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Akiunganisha route hvo haitakua gharama sana? Vp haitaaathir mda wa kufika
Ukipanda Gari Za Mwanza Mpanda mfano Allys Star, Nyehunge, au Premier unafika Mpanda Saa 10 jioni au 11 then unaunganisha na basi za Mpanda Sumbawanga zile mini buses



Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Yeah,ni option nzuri Ila mie huwa naelekea tunduma so naona option ya kupunguza safari kwa kulala swax ili kwenda border iwe kama kumsukuma mlevi.
Kama tu safari ya Mbeya Mwanza nipo radhi nipande basi hadi Dodoma then kesho yake nipande Dodoma Mwanza ila sio moja kwa moja na yale magari ya Mwanza Mbeya

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Yeah,ni option nzuri Ila mie huwa naelekea tunduma so naona option ya kupunguza safari kwa kulala swax ili kwenda border iwe kama kumsukuma mlevi.
Safari ndefu huwa nahisi kufwa njiani kwa uchovu.

Kuunga hadi tunduma siwezi na sijawahi.

Mbeya tu huwa nafika hoi chakari utadhani nimetoka kulima shamba.
 
Safari niliyozoea kutumia masaa 6 hadi 7 nikatumia masaa 9

Nauli kubwa halaf i got nothing ndani wakati ABC kwa nauli pungufu ya hapo lkn nilipata vingi [emoji2] though sio necessary ila kutumia masaa 9 was the worst experience ever

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Aiseeee! Pole sana sijawahi jutia safari yeyote mpaka dakika hii hua na tabia ya kuandaa mazingira na kujiandaa mapema na hua naangalia gar gani?

2020 nlikuwa nakuja dar usafiri ulikua changamoto sana wanachuo wanarudi dar wasafiri kibao, nkasema ngoja niende Moshi kufika hali Tete nkapata luxury KIDIA nauli 36k Moshi dar........nlikaa na huyo mdada yaan nliona kama nimesafir dkk 10 😁😁yule mdada alikua anadeka kinoma ningem-riki boy sema tukaishiaga kuwa friends
 
Back
Top Bottom