Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Hizi vigezo na masharti [emoji2][emoji2][emoji2] sasa kuna kampuni hazina namba E ila zipo poa sana utafanya nn sasa

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Dah, hapo mzee nitacheki vigezo vingine ila nishapanda gari nikakuta kunguni man. Aisee.

Pia kuna magari yana reputation nzuri sana ata yakiwa namba za mbali sio mbaya.

Mfano, kipindi Stend ya Mabasi Dar bado ipo Ubungo bwana nilitaka kwenda Moro. Nafika pale nakuta Abood ndio anatoka ameshajaa. Wakasema linakuja jingine. Ila pembeni kuna BM. Zaidi ya nusu seat zina watu na nikaambiwa zingine zimeshachukuliwa zimebaki seat nane tu waamshe, wengine wapo nje wanasubiri dere aondoe.

Nikaona kupanda Abood inayotegemewa kuja ndani ya dakika 5 jau. Nikakata BM

Oya, ziliondoka Abood 3 mi nipo hapo nasubiria hao watu waliosema nane aisee.
 
Yaani Bus linalopiga mziki ni adui yangu kabisa.

Ili nipate lisilopiga mziki lazima niende kama walivyo nauliza bus la bila mziki sio bus kwa kweli

Hapo kuna mmoja atajichanganya na kucheka na kusema KAMA HILO.

Basi naenda panda hilo hilo [emoji1] [emoji1787]
Niko tofauti na wewe.

Mimi gari yoyote ambayo haina mziki sipandi kabisa

Napenda sana mziki hasa ziki la gari
 
ndani ya chuma kwanza kuna kuku, bata, mbuzi. abiria bidhaa zetu tunanunua ni mahind ya kuchemsha mayai ya kuchemsha, makande abiria 50 ila chuma ina 60 mafund kama wa3 hivi mda wote spana mkononi maji begani, suka kavaa kikapelo upande au pama tv moja, chuma injini ya scania plate no AAB, oya inamwaga moto mwendo wa ngiri mkia juu honi kama vinanda ukishuka stend mwekenduu inabidi ukaoge kwanza MSAFIRI KAFIRI.
 
Aiseeee! Pole sana sijawahi jutia safari yeyote mpaka dakika hii hua na tabia ya kuandaa mazingira na kujiandaa mapema na hua naangalia gar gani?

2020 nlikuwa nakuja dar usafiri ulikua changamoto sana wanachuo wanarudi dar wasafiri kibao, nkasema ngoja niende Moshi kufika hali Tete nkapata luxury KIDIA nauli 36k Moshi dar........nlikaa na huyo mdada yaan nliona kama nimesafir dkk 10 [emoji16][emoji16]yule mdada alikua anadeka kinoma ningem-riki boy sema tukaishiaga kuwa friends
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] comrade you let us down

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Dah, hapo mzee nitacheki vigezo vingine ila nishapanda gari nikakuta kunguni man. Aisee.

Pia kuna magari yana reputation nzuri sana ata yakiwa namba za mbali sio mbaya.

Mfano, kipindi Stend ya Mabasi Dar bado ipo Ubungo bwana nilitaka kwenda Moro. Nafika pale nakuta Abood ndio anatoka ameshajaa. Wakasema linakuja jingine. Ila pembeni kuna BM. Zaidi ya nusu seat zina watu na nikaambiwa zingine zimeshachukuliwa zimebaki seat nane tu waamshe, wengine wapo nje wanasubiri dere aondoe.

Nikaona kupanda Abood inayotegemewa kuja ndani ya dakika 5 jau. Nikakata BM

Oya, ziliondoka Abood 3 mi nipo hapo nasubiria hao watu waliosema nane aisee.
[emoji3][emoji3][emoji3] Moro Dar Abood is the best kwa hapo kapateka ni kama watu wamechanjiwa abood

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Nlishazoeaga zile Costa za Moshi Arusha na babati Arusha aisee siku hyo nlipanda shabiby kwanza nikaanza kuona maeneo yameanza kua na view ya kitofauti sana ila kusafiri Raha sana ila isiwe kwa jambo baya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mazingira yanabadilika tena duh.... binafsi hata Arusha Moshi niko radhi nisubr basi kubwa sio coaster

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Dah, hapo mzee nitacheki vigezo vingine ila nishapanda gari nikakuta kunguni man. Aisee.

Pia kuna magari yana reputation nzuri sana ata yakiwa namba za mbali sio mbaya.

Mfano, kipindi Stend ya Mabasi Dar bado ipo Ubungo bwana nilitaka kwenda Moro. Nafika pale nakuta Abood ndio anatoka ameshajaa. Wakasema linakuja jingine. Ila pembeni kuna BM. Zaidi ya nusu seat zina watu na nikaambiwa zingine zimeshachukuliwa zimebaki seat nane tu waamshe, wengine wapo nje wanasubiri dere aondoe.

Nikaona kupanda Abood inayotegemewa kuja ndani ya dakika 5 jau. Nikakata BM

Oya, ziliondoka Abood 3 mi nipo hapo nasubiria hao watu waliosema nane aisee.
[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mazingira yanabadilika tena duh.... binafsi hata Arusha Moshi niko radhi nisubr basi kubwa sio coaster

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Ile njia kutoka kisongo mpaka Moshi ina network 4G+ afu upande shabiby 🤣🤣🤣hakyamungu hasira za kukosa ajira zinaisha zote
 
Back
Top Bottom