Kwa uchafu wa mama ntilie wa Tanzania, Bibi na Bwana Afya wako likizo?

Kwa uchafu wa mama ntilie wa Tanzania, Bibi na Bwana Afya wako likizo?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hivi hawa Bibi na Bwana afya wapo?

Migahawa ya Tanzania ni michafu sana na hao wapishi wenyewe ni wachafu mno. Hatukatai haki za watoto lakini kwa nini mtu mwenye mtoto mdogo asiejiweza aruhusiwe kufanya biashara ya chakula?

Mtoto mdogo anakunya, mama ntilie anamtawaza muda huohuo keshaenda kupakua chakula tena hajanawa na sabuni hapo ikitokea magonjwa ya milipuko inakuaje kwa mfano.

Vitu vingine tungeni sheria ndogo ndogo zinazoambatana na adhabu, piteni mara kwa mara kukagua usafi mkikuta dosari waandikieni faini hiyo itasaidia kuboresha huduma.

Bibi afya na Bwana afya nadhani ni kundi la watu wasio na kazi ndio maana ni walevi sana, hata kukagua mazingira ya makazi usafi wake ukoje hakuna unakuta mapori kwenye makazi ya watu, pita piga faini uone kama hawatofanya usafi huko majumbani.
 
cf598112ee91bf7f306131743b8b1050.jpg
 
Hivi hawa Bibi na Bwana afya wapo?
Migahawa ya Tanzania ni michafu sana na hao wapishi wenyewe ni wachafu mno.
Hatukatai haki za watoto lakini kwa nini mtu mwenye mtoto mdogo asiejiweza aruhusiwe kufanya biashara ya chakula?
Mtoto mdogo anakunya, mama ntilie anamtawaza muda huohuo keshaenda kupakua chakula tena hajanawa na sabuni hapo ikitokea magonjwa ya milipuko inakuaje kwa mfano.
Vitu vingine tungeni sheria ndogo ndogo zinazoambatana na adhabu, piteni mara kwa mara kukagua usafi mkikuta dosari waandikieni faini hiyo itasaidia kuboresha huduma,
Bibi afya na Bwana afya nadhani ni kundi la watu wasio na kazi ndio maana ni walevi sana , hata kukagua mazingira ya makazi usafi wake ukoje hakuna unakuta mapori kwenye makazi ya watu, pita piga faini uone kama hawatofanya usafi huko majumbani.
Kufuata kanuni za Afya ni hulka binafsi.

Mama Lishe hawako kwenye mfumo rasmi wa biashara, ni Kama wamachinga na hivyo control yao ni ngumu.

PILI, Mama Lishe hawatafuti utajiri.

They are just fighting to survive, kwahiyo ubinadamu lazima utumike.

Mama Lishe mtaji wake kiasi gani, mpaka umpige fine, elfu 50?
 
Kufuata kanuni za Afya ni hulka binafsi.

Mama Lishe hawako kwenye mfumo rasmi wa biashara, ni Kama wamachinga na hivyo control yao ni ngumu.

PILI, Mama Lishe hawatafuti utajiri.

They are just fighting to survive, kwahiyo ubinadamu lazima utumike.

Mama Lishe mtaji wake kiasi gani, mpaka umpige fine, elfu 50?

Ukiwaandekeza unapotea wale usiwaone vile wanamajumba ambayo mfanya kazi wa serikali hadi ana staafu bado hawezi kujenga wewe wadharau tu
 
Back
Top Bottom