- Thread starter
- #21
Jumlisha majashoo
Kumbe unawajua vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumlisha majashoo
Mama Lishe tunaishi nao, maisha yao tunayajua.Ukiwaandekeza unapotea wale usiwaone vile wanamajumba ambayo mfanya kazi wa serikali hadi ana staafu bado hawezi kujenga wewe wadharau tu
Kwasababu kanuni za Afya zinaanza na:Kwa kipato gani wanachoingiza hadi wabadilike? Wangapi wanahela ya kwenda kula sehemu nzuri?
Wakikosa wateja watajirekebisha. It's demand and supply.
Watajiita wanyonge ndio maana wanaonewaKati ya watu wanaojua kulalamika ni mama ntilie yaani wakipigwa faini au kufungiwaa biashara wataliaaa weee na kutoa kila laaana na lawama wakati wao ndio wenye makosa.
Hivi hawa Bibi na Bwana afya wapo?
Migahawa ya Tanzania ni michafu sana na hao wapishi wenyewe ni wachafu mno.
Hatukatai haki za watoto lakini kwa nini mtu mwenye mtoto mdogo asiejiweza aruhusiwe kufanya biashara ya chakula?
Mtoto mdogo anakunya, mama ntilie anamtawaza muda huohuo keshaenda kupakua chakula tena hajanawa na sabuni hapo ikitokea magonjwa ya milipuko inakuaje kwa mfano.
Vitu vingine tungeni sheria ndogo ndogo zinazoambatana na adhabu, piteni mara kwa mara kukagua usafi mkikuta dosari waandikieni faini hiyo itasaidia kuboresha huduma,
Bibi afya na Bwana afya nadhani ni kundi la watu wasio na kazi ndio maana ni walevi sana , hata kukagua mazingira ya makazi usafi wake ukoje hakuna unakuta mapori kwenye makazi ya watu, pita piga faini uone kama hawatofanya usafi huko majumbani.
Kufuata kanuni za Afya ni hulka binafsi.
Mama Lishe hawako kwenye mfumo rasmi wa biashara, ni Kama wamachinga na hivyo control yao ni ngumu.
PILI, Mama Lishe hawatafuti utajiri.
They are just fighting to survive, kwahiyo ubinadamu lazima utumike.
Mama Lishe mtaji wake kiasi gani, mpaka umpige fine, elfu 50?
Kwahiyo unategemea ubora wa Chakula kwa Tsh 1,500 kwa mama Lishe?kwahiyo watu waumie kwa sababu ya mitaji yao midogo waachiwe tu na uchafu wao
Hazijafika 100 tukaweke Puto?Yeah kweli wako likizo
Endeleeni kula huko nyie me nko diet npunguze vi kilo nloongeza kipindi cha sikukuu za juzi
Bado sana na haiwez kutokeaHazijafika 100 tukaweke Puto?
halafu cha ajabu chakula chao kama wali wanafunikia nailon ili iwive wakati nailon kemikali yake inaingia kwenye wali kwa ajili ya lile joto na husababisha cancer kwa walaji ndio maana cancer imekuwa nyingi, mabibi afya wapo mabwana afya wapo wao wanakimbilia hoteli kubwa ili kukagua wapate rushwa
Kwahiyo unategemea ubora wa Chakula kwa Tsh 1,500 kwa mama Lishe?
[emoji23][emoji23] haki tena Mungu atunusuru. Alafu unakuta chakula ni kitamu balaa na kesho unarudi tena.Naskia Wengine wanapikia maji waliyotawazia ili kuongeza soko