mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Kuna mmoja yupo pale sgd mjini kati kibanda cha torobali ya blue nlikua napita mtoto wake kama miaka miwili anakunya pembeni daaah hatariiii SanaUnaweza kua na njaa ikaisha ghafla
Ndan ameweka benchi watu wanakula
Halafu mvua zinanyesha
Watu wa afya wanakula viyoyoz
Wanamatumbo kubwaaa kama viroba hawata kwenda kwenye eneo la tukio
Kipindu pindu kikija ndiyo wanajifajya wapo busy