Mayele fiston
Member
- Nov 3, 2021
- 24
- 24
Kataa ndoa ule wali wa hamira uliomuka vizuriHalafu ndio hawahawa wanaosema kataa ndoa [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kataa ndoa ule wali wa hamira uliomuka vizuriHalafu ndio hawahawa wanaosema kataa ndoa [emoji23]
Baadhi ya mabibi Afya wa wilaya ya Ilala wako bize na biashara zao. Si ajabu na wao wakapata kipindupindu wakiwa bize kwenye kuchuuza bidhaa zao. Inasikitisha.
Mmoja ana duka huko nyumbani Tegeta kutwa kupeleka mizigo.Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu
AstaghfirullahKachumbari inavyoandaliwa utashangaa.imagine! Anamtawaza mtoto na kucha zake ni ndefu bila kunawa kwa kutumia sabuni, anaadaa kachumbari!!