Kwa uchafu wa mama ntilie wa Tanzania, Bibi na Bwana Afya wako likizo?

Kwa uchafu wa mama ntilie wa Tanzania, Bibi na Bwana Afya wako likizo?

Baadhi ya mabibi Afya wa wilaya ya Ilala wako bize na biashara zao. Si ajabu na wao wakapata kipindupindu wakiwa bize kwenye kuchuuza bidhaa zao. Inasikitisha.

Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu
 
Back
Top Bottom