Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Vyombo hawaoshi vizuri wanalipua tu Kwa kudumbukiza kwenye Maji na kutoa !
Ni hatari sana kula kwa mama lishe pamoja na bei zao kuonekana na afadhali lakini mtu akipata magonjwa kujitibia ni gharama kubwa sana.
Ni hatari sana kula kwa mama lishe pamoja na bei zao kuonekana na afadhali lakini mtu akipata magonjwa kujitibia ni gharama kubwa sana.