M Mayele fiston Member Joined Nov 3, 2021 Posts 24 Reaction score 24 Apr 27, 2023 #81 Mshana Jr said: Halafu ndio hawahawa wanaosema kataa ndoa [emoji23] Click to expand... Kataa ndoa ule wali wa hamira uliomuka vizuri
Mshana Jr said: Halafu ndio hawahawa wanaosema kataa ndoa [emoji23] Click to expand... Kataa ndoa ule wali wa hamira uliomuka vizuri
M mockers JF-Expert Member Joined Nov 19, 2013 Posts 12,843 Reaction score 35,442 Apr 27, 2023 Thread starter #82 Joan lewis said: Baadhi ya mabibi Afya wa wilaya ya Ilala wako bize na biashara zao. Si ajabu na wao wakapata kipindupindu wakiwa bize kwenye kuchuuza bidhaa zao. Inasikitisha. Click to expand... Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu
Joan lewis said: Baadhi ya mabibi Afya wa wilaya ya Ilala wako bize na biashara zao. Si ajabu na wao wakapata kipindupindu wakiwa bize kwenye kuchuuza bidhaa zao. Inasikitisha. Click to expand... Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu
Dr Msweden JF-Expert Member Joined Nov 3, 2020 Posts 2,629 Reaction score 9,530 Apr 27, 2023 #83 Mbagala kuna watu wanakula kwenye mifereji michafu ya maji
Joan lewis JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 993 Reaction score 1,463 Apr 27, 2023 #84 Arovera said: Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu Click to expand... Mmoja ana duka huko nyumbani Tegeta kutwa kupeleka mizigo.
Arovera said: Kuna bibi afya mmoja anauza supu ya kongoro buguruni darajani sijui kama hajaacha au kupata kipindupindu Click to expand... Mmoja ana duka huko nyumbani Tegeta kutwa kupeleka mizigo.
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Aug 1, 2024 #85 Inasikitisha sana
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Aug 1, 2024 #86 kibobori mahoro said: Kachumbari inavyoandaliwa utashangaa.imagine! Anamtawaza mtoto na kucha zake ni ndefu bila kunawa kwa kutumia sabuni, anaadaa kachumbari!! Click to expand... Astaghfirullah
kibobori mahoro said: Kachumbari inavyoandaliwa utashangaa.imagine! Anamtawaza mtoto na kucha zake ni ndefu bila kunawa kwa kutumia sabuni, anaadaa kachumbari!! Click to expand... Astaghfirullah
K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 7,452 Reaction score 10,785 Aug 1, 2024 #87 Nguruwe ni mchafu ila nyama yake tamu.