Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu ndo inaumizagga sana. Aisee asikwambie mtu unaingia class na madogo wa four na wewe umesota advance na pcb2yrs imepotea buree, tumia cheti cha 4m 4 uende Dip,
Poleeee sanaa mdogo etu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri mzuri huu, ndio maana sioni sababu ya wanangu kwenda A level. Wakifaulu vizuri O level wataenda chuo straight.Kasome dip ya clinical dentistry,, au diagnostic radiography mkuu,,, hutajutaaa hzo ndo course markable sasa usikimbilie co,au nursing za kidwanz tu saiv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaumiza mnoo!! Poleeeni sanaa mliokutwa na hayo masaibu.Hii kitu ndo inaumizagga sana. Aisee asikwambie mtu unaingia class na madogo wa four na wewe umesota advance na pcb
Haraka sana nenda kaombe Radiology muhimbili utapata Dirisha wanafunga tarehe 15 mwezi huu.Ahsante 🙏 mkuu,,o level Nina B masomo ya phy,chem,bio ,na math Nina C,Geo c
Means ni keshokutwaa?? Duuuh muda unamkimbiza hatariiii.Haraka sana nenda kaombe Radiology muhimbili utapata Dirisha wanafunga tarehe 15 mwezi huu.
Daa alafu mbaya zaidi uwe chuo ambacho kuna watu wa degree aisee utajihisi umenyimwa haki yako .sema sio mbaya mwaka huu na mimi nijiunge rasmi na degree sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaumiza mnoo!! Poleeeni sanaa mliokutwa na hayo masaibu.
mziki wa PCB/PCM afu urudi Dip tena cheti cha 4m 4 unaweza tukana wasahihishaji hivi hivi. Lol.
YeahMeans ni keshokutwaa?? Duuuh muda unamkimbiza hatariiii.
Ahsante 🙏🙏Haraka sana nenda kaombe Radiology muhimbili utapata Dirisha wanafunga tarehe 15 mwezi huu.
Ahsante 🙏🙏Kasome dip ya clinical dentistry,, au diagnostic radiography mkuu,,, hutajutaaa hzo ndo course markable sasa usikimbilie co,au nursing za kidwanz tu saiv
Asante kak. 🙏🙏[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaumiza mnoo!! Poleeeni sanaa mliokutwa na hayo masaibu.
mziki wa PCB/PCM afu urudi Dip tena cheti cha 4m 4 unaweza tukana wasahihishaji hivi hivi. Lol.
Pia omba na vyuo vingine vilivyopo chini ya Nacte kwa kozi hiyo ya Diploma ya Radiology maana now ushindani utakua mkubwa usije ukakosa muhimbili ukakaaa home.Ahsante 🙏🙏
Zingatia huu ushauriPia omba na vyuo vingine vilivyopo chini ya Nacte kwa kozi hiyo ya Diploma ya Radiology maana now ushindani utakua mkubwa usije ukakosa muhimbili ukakaaa home.
Kuna vyuo vingi nimecheki leo havina watu kwenye hiyo kozi mpaka sasa.
Mvumi
City college (Mwanza,Ilala na Temeke)
Sengerema
Pia jaribu kutupia na kozi hizi zina future sana kama utafanya vizuri diploma na kuunga digrii japo watu wanazidharau.
Dental
Physiotherapy
Auditology and speech therapy
NB: vyuo vya serikali vilivyo chini ya nacte vimeshajaa vyote. Na pia usithubutu kuomba Clinical medicine kama hutaki stress kwenye maisha yako.
Kila la kheri
Ahsante 🙏🙏Pia omba na vyuo vingine vilivyopo chini ya Nacte kwa kozi hiyo ya Diploma ya Radiology maana now ushindani utakua mkubwa usije ukakosa muhimbili ukakaaa home.
Kuna vyuo vingi nimecheki leo havina watu kwenye hiyo kozi mpaka sasa.
Mvumi
City college (Mwanza,Ilala na Temeke)
Sengerema
Pia jaribu kutupia na kozi hizi zina future sana kama utafanya vizuri diploma na kuunga digrii japo watu wanazidharau.
Dental
Physiotherapy
Auditology and speech therapy
NB: vyuo vya serikali vilivyo chini ya nacte vimeshajaa vyote. Na pia usithubutu kuomba Clinical medicine kama hutaki stress kwenye maisha yako.
Kila la kheri
Nimeelewa ahsante Sana 🙏🙏Zingatia huu ushauri
Mkuuu Mimi co ,,kummke najuta kusoma huu usenge bora hata nikasome dip nyngne tayar npo kwenye system,,yaaani dah😱😱😱😱😱Pia omba na vyuo vingine vilivyopo chini ya Nacte kwa kozi hiyo ya Diploma ya Radiology maana now ushindani utakua mkubwa usije ukakosa muhimbili ukakaaa home.
Kuna vyuo vingi nimecheki leo havina watu kwenye hiyo kozi mpaka sasa.
Mvumi
City college (Mwanza,Ilala na Temeke)
Sengerema
Pia jaribu kutupia na kozi hizi zina future sana kama utafanya vizuri diploma na kuunga digrii japo watu wanazidharau.
Dental
Physiotherapy
Auditology and speech therapy
NB: vyuo vya serikali vilivyo chini ya nacte vimeshajaa vyote. Na pia usithubutu kuomba Clinical medicine kama hutaki stress kwenye maisha yako.
Kila la kheri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie kumbe huwa mnaumiaa? Si ndo wanasema Dip wako vizuri kuliko waliotoka Advance.Daa alafu mbaya zaidi uwe chuo ambacho kuna watu wa degree aisee utajihisi umenyimwa haki yako .sema sio mbaya mwaka huu na mimi nijiunge rasmi na degree sasa
Duuuh namhurumia, [emoji22][emoji22][emoji22]Yeah
Omba leo leo na ufanye haraka, hakuna kuzubaa, muda haukusubiri wewee.Nimeelewa ahsante Sana [emoji120][emoji120]
Pole boss mimi nilishashtuka niko chuo X napiga kozi nyingine na nimeanza kula mema.Mkuuu Mimi co ,,kummke najuta kusoma huu usenge bora hata nikasome dip nyngne tayar npo kwenye system,,yaaani dah😱😱😱😱😱
Wanaosema hivo ni wale walio toka fresh o level ..ila alie gusa advance anaumia must aise[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie kumbe huwa mnaumiaa? Si ndo wanasema Dip wako vizuri kuliko waliotoka Advance.
Kumbe wahusika mnaumia ndani kwa ndanii, nenda Degree ukavae Joho hapo baadae.