Kwa ufaulu huu diploma naenda kozi za afya?

Kwa ufaulu huu diploma naenda kozi za afya?

Mkuuu Mimi co ,,kummke najuta kusoma huu usenge bora hata nikasome dip nyngne tayar npo kwenye system,,yaaani dah😱😱😱😱😱
Ulimaliza mwaka gani mkuu?

Mimi wakati naanza chuo kuna jamaa ni dentist alinishauri nipige chini CO nikampuuza ila nilipifika Second year ndo nikamuelewa alichokua ana maanisha. Nilikomaa nikamaliza ila baada ya hapo ikawa kisanga kwenye ajira dharau za private huko na ukiomba gvt unatupwa mpitimbwi😁😁 nikasema oiiiiiiiiii hapa nijiajiri tu *****...nimejiajiri Allah kajaalia nimerudi school kuongeza manuva huko napiga mishe staki stress.

Mdogo wangu kamaliza last year akataka CO nikamkimbizia Radiology nashukuru kachaguliwa huko.
 
Diploma ya afya mostly ni miaka 3.

Kwa matokeo hayo, una Principal moja ya Geography na hizo pass zako.

Kama ulifaulu vyema kidato cha nne, katika masomo y Physics, Chemistry, Biloloyy na Mathematics basi uwezekano wa kwenda Diploma ni Mkubwa.

Tumia zaidi ufaulu wa kidato cha nne kuliko wa kidato cha sita.

At the mean time, relax. Usiogope kuwa hujapata matokeo ya kuridhisha. Una nafasi ya kubutua mwa mara nyingine.

Nakutakia kila la kheri.
Umemshauri vyema sana, asijione kafeli na kukata tamaa. Aende diploma miaka 3 then ataendelea na degree. Safari mara nyingi inakuwa na njia nyingi za kufikia destination yako.
 
Ulimaliza mwaka gani mkuu?

Mimi wakati naanza chuo kuna jamaa ni dentist alinishauri nipige chini CO nikampuuza ila nilipifika Second year ndo nikamuelewa alichokua ana maanisha. Nilikomaa nikamaliza ila baada ya hapo ikawa kisanga kwenye ajira dharau za private huko na ukiomba gvt unatupwa mpitimbwi😁😁 nikasema oiiiiiiiiii hapa nijiajiri tu *****...nimejiajiri Allah kajaalia nimerudi school kuongeza manuva huko napiga mishe staki stress.

Mdogo wangu kamaliza last year akataka CO nikamkimbizia Radiology nashukuru kachaguliwa huko.
Means CO hawatoi ajira au una maanisha nini mkuu?
 
Means CO hawatoi ajira au una maanisha nini mkuu?
Wanao maliza CO kwa sasa ni wengi ,ajira za Private mtaani magumashi na kupata ishu imagine mtu analipa 8k-10k na kulipwa mpaka apate mgonjwa. Gvt wanatoa ajira ila kumbuka pia nafasi hazitoshelezi na ukipata unapelekwa chimbo ambalo mpaka ukae sawa umeshapoteza miaka zaidi ya 5 na mshahara ndo huo mdogo.
 
Ulimaliza mwaka gani mkuu?

Mimi wakati naanza chuo kuna jamaa ni dentist alinishauri nipige chini CO nikampuuza ila nilipifika Second year ndo nikamuelewa alichokua ana maanisha. Nilikomaa nikamaliza ila baada ya hapo ikawa kisanga kwenye ajira dharau za private huko na ukiomba gvt unatupwa mpitimbwi[emoji16][emoji16] nikasema oiiiiiiiiii hapa nijiajiri tu *****...nimejiajiri Allah kajaalia nimerudi school kuongeza manuva huko napiga mishe staki stress.

Mdogo wangu kamaliza last year akataka CO nikamkimbizia Radiology nashukuru kachaguliwa huko.
Sasa Mpitimbi hapafai? Na ulipangiwa pale mission au kule humbaro hospital ya wilaya.
 
Wanao maliza CO kwa sasa ni wengi ,ajira za Private mtaani magumashi na kupata ishu imagine mtu analipa 8k-10k na kulipwa mpaka apate mgonjwa. Gvt wanatoa ajira ila kumbuka pia nafasi hazitoshelezi na ukipata unapelekwa chimbo ambalo mpaka ukae sawa umeshapoteza miaka zaidi ya 5 na mshahara ndo huo mdogo.
Mshahara wa CO ni kiasi gani? Nazungumzia hawa waajiriwa wa serikali.
 
Sasa Mpitimbi hapafai? Na ulipangiwa pale mission au kule humbaro hospital ya wilaya.
Sijawahi hata kuomba hizo kazi...mpitimbi nimetolea tu mfano(kumaanisha sehemu yenye mazingira magumu).

Ukweli kozi za afya hazina tofauti na ualimu mazingira ya kufanikiwa magumu sana.
 
Wanao maliza CO kwa sasa ni wengi ,ajira za Private mtaani magumashi na kupata ishu imagine mtu analipa 8k-10k na kulipwa mpaka apate mgonjwa. Gvt wanatoa ajira ila kumbuka pia nafasi hazitoshelezi na ukipata unapelekwa chimbo ambalo mpaka ukae sawa umeshapoteza miaka zaidi ya 5 na mshahara ndo huo mdogo.
Ok so mtu wa radiology na co kwa dip means differ salary? Au kozi ipi no marketable kwa Sasa kwa upandd wa Afya kwa dip level?
 
Habari wanaJF matokeo ya kidato cha sita 2024/25 yametolewa leo . Nimepata ufaulu huu
Geo D
Chemistry E
Bio E
BAM E

Kwa nilivyoona Sina qualifications za kwenda degree.
Nauliza je uwezekano wa kwenda diploma upo kozi za afya?kama inawezekana Je nikisoma diploma ya afya inachukua miaka mingapi???

Natanguliza shukran za dhat wakuu 🙏🙏🙏
Diploma wanatumia matokeo ya form four sio ya form six...
 
Back
Top Bottom