christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Kama ulikuwa mwizi na unadhulumu wananchi hiyo ilikuwa ni haki yako.Sijui ni watumishi gani unawazungumzia.
Sie wengine tulidharaulika sana wakati wa shetani lile.
Mana ulikuwa unaitwa unafokewa jadharani mbele ya wananchi, refer mikutano ya Makonda, Ali Hapi na Ngosha mwenyewe.
Tulikuwa tunawekwa ndani na maDC kiholela tu. Halafu we unasema eti tuliheshimiwa