Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Pokea ujumbe wewe.?
Duh!
Wacha kunifuatilia, Utaumia bure tu. Na wewe katikise nyumani uone kama utamshinda bata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea ujumbe wewe.?
Duh!
Wacha kunifuatilia, Utaumia bure tu. Na wewe katikise nyumani uone kama utamshinda bata.
Tatizo lako umeshezowea kula vya kunyonga,vya kuchinja huviwezi, na huo ugonjwa wako utakutesa sana! Tafuta riziki halali hata Kama uko utumishini jaribu sana kula vya halali,hata akija Rais zaidi ya JPM wala hutakua na hofu ya uongozi uliopo madarakani kwa wakati wowote ule!!Hahaha eti deep what! Anyway ameongea member mmoja kwamba watakuja wataondoka watatuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comment zako hizi hatuhitaji degree kujua nani ni mbumbumbu.Huko nje wapo mbumbumbu ambao wengi hawajui madhara yake, wengi ni bendera hufuata uelekeo wa upepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
na wengine wenye nia hofu na wafanyakazi wa nchi hii Mwenyezi Mungu awape wanachokistahiliKwa ufupi sana JPM alitamani kuona Wafanyakazi nchi hii wanaishi kama mizuka, mizimu au mazombi.. hakuna ajuae ni kosa Gani haswa aliwahi kufanyiwa na watumishi wa nchi hii, yapo mambo ambayo mama amejitahidi angalau kuyarudisha lakini mengine inabidi mchakato au hata hekima tu, ngoja niwaonyeshe Machache,
1. Kupandisha Madaraja , kwa Mfano wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014, haikujulikana ni LINI, wangepanda Madaraja! Imagine Miaka 7, na hatimaye wakaja kupanda mwaka 2021! Baada ya mama kuingia madarakani! Just imagine
2. Nyongeza za kawaida za Kila mwaka ambazo zipo kisheria kabisa yeye alifuta! Tena Bila shaka hakutaka kusikia, haijafahamika mara moja ni kwanini!
3. Kazi maalum kwa walimu Mfano (kusahihisha mitihan ya taifa)
Walimu waliokuwa wakifanya Kazi iyo kabla ya JPM kuingia madarakani, mbali na kwamba walilipwa vizuri pia walikula chakula kizuri, lakini pia waandaaji walifanya kama kuwamotisha walimu kwa kuwapa kama utalii wa ndani, maana yule wa kigoma angeenda Tanga wa Tanga akaenda Tabora huko n.k...
Hii iliwafanya baadhi ya watu kufurahia na angalau kubadilisha mazingira!
Sasa Mzee baba alivyoingia akapiga marufuku akisema wa Tabora abaki Tabora na WA Mwanza abaki mwanza! Hakuishia hapo na malipo akapunguza! Akidai walimu hiyo ni kazi Yao, hivyo ikibidi wasilipwe chochote! Na Sasa kuanzia pale kazi ikawa Haina morali kwani kazi kubwa, malipo kidogo na masimango juu.
Mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana sababu haswa kwanini Mzee baba aliwachukia wafanyakazi kiasi hiki.
Kweli hatosahaulika hasa kwa wazazi wa ANZORY GWANDAJpm hatosaulika alisema mtamkumbuka!
Hamuhitaji! Wewe na nani? Naomba nikupuuze.Kwa comment zako hizi hatuhitaji degree kujua nani ni mbumbumbu.
Mimi nilishakupuuza kitambo tu mbona. Maana inaonesha dhahiri wewe ni bendera fuata upepo yaan huwezi kung'amua mambo kwa kutumia akili yako unafuata akili za wanasiasa bila kuchambua.
Hata muuza duka ,kahawa, dengelua au mbege pia ni mtumishi wa umma! Kwan ww mwenzetu una define vipi term "umma"? Au huko kwenu umma maana yake ni serikali?Basi Kama wwe ni muuza duka kaa kimya tunapowasema Watumishi wa Umma, maana sisi hadi tunasema hatusemi tu kutoka hewani ni tunayaona na kuyashuhudia wanayofanya huko kwenye office za Umma na ndiyo maana tulifurahia sana JPM alivyokua anawatia adabu!!
Kua serious kidogo kwenye sensitive issues! Asante sana!!Hata muuza duka ,kahawa, dengelua au mbege pia ni mtumishi wa umma! Kwan ww mwenzetu una define vipi term "umma"? Au huko kwenu umma maana yake ni serikali?
Walinda legacy watabisha watakwambia wewe ni mfoji vyeti,wakala wa mabeberu na mwizi.Kwa ufupi sana JPM alitamani kuona Wafanyakazi nchi hii wanaishi kama mizuka, mizimu au mazombi.. hakuna ajuae ni kosa Gani haswa aliwahi kufanyiwa na watumishi wa nchi hii, yapo mambo ambayo mama amejitahidi angalau kuyarudisha lakini mengine inabidi mchakato au hata hekima tu, ngoja niwaonyeshe Machache,
1. Kupandisha Madaraja , kwa Mfano wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014, haikujulikana ni LINI, wangepanda Madaraja! Imagine Miaka 7, na hatimaye wakaja kupanda mwaka 2021! Baada ya mama kuingia madarakani! Just imagine
2. Nyongeza za kawaida za Kila mwaka ambazo zipo kisheria kabisa yeye alifuta! Tena Bila shaka hakutaka kusikia, haijafahamika mara moja ni kwanini!
3. Kazi maalum kwa walimu Mfano (kusahihisha mitihan ya taifa)
Walimu waliokuwa wakifanya Kazi iyo kabla ya JPM kuingia madarakani, mbali na kwamba walilipwa vizuri pia walikula chakula kizuri, lakini pia waandaaji walifanya kama kuwamotisha walimu kwa kuwapa kama utalii wa ndani, maana yule wa kigoma angeenda Tanga wa Tanga akaenda Tabora huko n.k...
Hii iliwafanya baadhi ya watu kufurahia na angalau kubadilisha mazingira!
Sasa Mzee baba alivyoingia akapiga marufuku akisema wa Tabora abaki Tabora na WA Mwanza abaki mwanza! Hakuishia hapo na malipo akapunguza! Akidai walimu hiyo ni kazi Yao, hivyo ikibidi wasilipwe chochote! Na Sasa kuanzia pale kazi ikawa Haina morali kwani kazi kubwa, malipo kidogo na masimango juu.
Mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana sababu haswa kwanini Mzee baba aliwachukia wafanyakazi kiasi hiki.
Yuko wapi na hiyo dawa imeishia wapi???Watumishi wengi wa umma ni mijizi mnaishi kwa janja janja za hapa na pale.
JPM ndio dawa yenu, ndio maana mnasema alikuwa hawapendi.
Jamaa alikuwa mshenzi sana."Siongezi mishahara kwakuwa tunatoa elimu bure"
Sasa hapo ni nani aliyekuwa analipia hiyo elimu km siyo watumishi?
(Hawamu yangu,matajiri watateseka sana,watakuwa mashetani).
Yeye alifoji Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 pamoja na Wabunge 19(COVID 19) kawaingiza Bungeni kwa kughushi.Tena wanajua kabisa kufoji ni kosa la Jinai lakini hata hawajali,kisa njaa zao basi hata Sheria kufuata hawataki!! Ehh Mungu tusaidie sisi waja wako wapenda haki na usawa kwa wote!!
Ushauri mzuri lakini kazi ya Historia ni kukumbusha matukio yaliyopita kwa faida ya jamii iliyopo na itakayofuata baadaye.Punguza matarajio kutoka kwa watu. Tunza hicho kidogo unachopata kwani maisha yanaweza kubadilika muda wowote. Yawezekana ulikuwepo tangu enzi za Mkapa ambapo napo wafanyakazi walilalamika hivyo hivyo, Kikwete naye akaja wakalalamika, Magufuli alipoingia naye walilalamika na naamini hata sasa WANALALAMIKA.
Nikusihi, ukiwa mtu wa malalamiko, unajifunga na kuziba milango yako ya baraka na kukaribisha magonjwa ya depression yasiyo na kichwa wala mguu.
Jifunze kusamehe na kusahau pia. Sahau ya jana bali jali ya leo na kesho japo kesho ni fumbo. Unayemalalmikia (Magufuli) sasa ni Marehemu je malalamiko haya yatazaa tija yoyote kama syo kutesa moyo wako TU?
Mshukuru MUNGU kwa kidogo ulichonacho kwani wapo wenye elimu kama ww hawana hata hicho unachokipataa japo kidg. Muombe MUNGU pia na tumia elimu yako kuwakomboa wanaokuzunguka ili inapofika kipindi cha UCHAGUZI mchague viongozi sahihi na wenye kujali maslahi yenu.
Ahsante!
Jpm alichukiwa na wezi kama kamba na nduguze
Watanzania wadilifu kama mimi tulimpenda sana
Magufuli hakuwachukia watumishi Ila aliamini kwamba ili kufanya mtumimishi aweze kuishi Maisha nafuu Ni lazima Kuna mambo yakae Sawa na suluhu si kuongeza mshahara.
Kwa mfano aliamini kuwa kupunguza gharama za Maisha kunasaidia kumpa unafuu ,ndio maana yeye alikuwa anataka kuwezesha vitu vinavyoonekana gharama za Maisha.
Mfano aliamini umeme ukipatikana Kwa urahisi bhasi wazalishaji watapunguza bei ya vitu,aliamini ukisafirisha vitu Kwa kutumia train bhasi bei ya vitu itapungua,ukiweka mazingira mazuri bandarini bhasi gharama za vitu vitokavyo ughaibuni vitapungua gharama.
Walidharauliwa vibaya labda aliyeheshimika mitaani ni polisi na wenyeviti wa ccm.Ila enzi za JPM watumishi waliheshimika sana mitaani sijui ni kwanini.
Leo unaandika utumbo lakini pamoja na utumbo wote ni Mtumishi wa umma aliyekufanya ujue kusoma na kuandika na hata hiyo smart phone yako au laptop ni matunda ya Watumishi wa umma.Kwani unadhani watu wengine wote tunawapenda watumishi wa umma?
Tuwapende kwa lipi la maana?
Kwa productivity yenu ndogo?
Kwa ulaji wenu wa rushwa?
Kwa kuzungusha watu maofisini bila kuwahudumia?
Kwa kutumia muda mwingi kupiga soga badala ya kufanya kazi?
Kwa uzembe na ubabaishaji uliojaa makazini mwenu ndiyo unataka tuwapendee?
Yani tuwapende kwa lipi haswa?
Kwa kupokea mishahara na marupurupu msioyafanyia kazi?
Kwa kuwa kwenye nafasi za kazi bila kufanya kazi? Mnakula pesa zetu za kodi bila kuzifanyia kazi. Kwa hiyo ndo unataka tuwapende kwa hayo?
Fikiri vizuri.
Anateseka motoni na analia kila siku kwa ujinga alioufanya wakati akiwa hai.Uwizi sio sifa nzuri mkuu acha hiyo tabia. Mwamba hajafa bado anaishi ndio maana haipiti siku bila uzi wa kumuhusu yeye kuletwa humu, sasa kama kikundi cha watu wachache tu wa jf kila siku wanamuwaza jiulize huko nje hali ikoje. Hata wezi na mafisadi wakitaka kufanya yao lazima wahisi sauti ya mwamba ikiwakemea ila wanashupaza shingo.
Kwa sababu CCM kumejaa matapeli.Ndiyo maana akawashuhulikia, maana alikua anazijiua tabia zenu chafu za ufisadi! Na JPM ulikua ni mpango wa deep State kuwashuhulikia Watumishi wala Rushwa! Na bado msizani kufa kwa JPM huo mpango nao umekufa,bado atakuja another JPM very soon!!