Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
- Thread starter
-
- #161
Ndio unasema hivyo! Sema kwasababu wewe huna uelewa wowote na ajira za serikali, ila umeambiwa tu uje upambanie legacy ndio ukaja kichwa kichwa kama hivi...Mkataba wa Ajira yako unakwambia kila mwaka utaongezwa salary?
Hashangai balozi mbelwa kairuki yuko China mkewe waziri bi Angela kairuki yuko Tz na siku zinasonga since sherehe za Beijing kwa akina mama, hili suala ni zaidi ya JPM (hasa hapo alipohusisha mambo ya uhamisho/wanandoa kuwa mbali), maadili yatamomonyoka hadi kama... R. I QEE JPMAlikuchukia wewe kwa kuwa ulikuwa na cheti fake lakini sisi watumishi wa vyeti original hatukuwa na shida naye kabisa.
Watu wasichikijua mishahara ilikuwa inaongezwa Kimya kimya na madaraja watu walipanda.Ajira ya 2014 wapo waliopanda 2019 tena mwaka huu 2023 wamepanda tena
Kwahiyo iliongezwa kwa wachache ambao walikuwa ndugu zake na hayati tu sioWatu wasichikijua mishahara ilikuwa inaongezwa Kimya kimya na madaraja watu walipanda.
Kama mtu alikuwa ni kiaze kama mleta Uzi hawakufikiriwa kabisa
Umezungukwa na ndugu zako masikini wengi sana,nakushauri aanza nao kuwasaidia,acha kujimwambafy kwenye mitandao masikini wwe!!We boya nna uwezo wa kukufuga ww pamoja na nzengo yako yote! Halaf naish kwa jasho langu sijawah kumnyima au kumnyanganya mtu! Jaribu kujifunza kutoka kwa wenzako waliokuzidi maarifa! Umma sio serikali kama unavyojilisha materia feki!
Umeacha alama gani duniani wewe,kuwadharau watumishi wa umma ni alama tosha kwa wapumbavu.Ebu fikiria, mtu kama wewe ndiyo matunda ya watumishi tulio nao! Hiyo ni ishara tosha kabisa kuwa hakuna ufanisi wowote huko makazini, watu wanafanya kazi tu bora liende.
Aliharibu nchi ya mafisadi na walamba asali, majizi wauza madawa ya kulevyaYule baba aliharibu hii nchi.mungu ni mwema[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe sema Mungu ni mwema kama utaishi milele muulize membe yupo wapi nowYule baba aliharibu hii nchi.mungu ni mwema[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushetani wa Magufuli ni upi?Shetani anaachaje kukumbukwa labda?
Hii inaonyesha wewe ni mmojawapo wa watu ambao hawakuwahi kupata kabisa nafasi ya kuweza kumuombea JPM alipokuwa yupo madarakani.Kwa ufupi sana JPM alitamani kuona Wafanyakazi nchi hii wanaishi kama mizuka, mizimu au mazombi.. hakuna ajuae ni kosa Gani haswa aliwahi kufanyiwa na watumishi wa nchi hii, yapo mambo ambayo mama amejitahidi angalau kuyarudisha lakini mengine inabidi mchakato au hata hekima tu, ngoja niwaonyeshe Machache,
1. Kupandisha Madaraja , kwa Mfano wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014, haikujulikana ni LINI, wangepanda Madaraja! Imagine Miaka 7, na hatimaye wakaja kupanda mwaka 2021! Baada ya mama kuingia madarakani! Just imagine
2. Nyongeza za kawaida za Kila mwaka ambazo zipo kisheria kabisa yeye alifuta! Tena Bila shaka hakutaka kusikia, haijafahamika mara moja ni kwanini!
3. Kazi maalum kwa walimu Mfano (kusahihisha mitihan ya taifa)
Walimu waliokuwa wakifanya Kazi iyo kabla ya JPM kuingia madarakani, mbali na kwamba walilipwa vizuri pia walikula chakula kizuri, lakini pia waandaaji walifanya kama kuwamotisha walimu kwa kuwapa kama utalii wa ndani, maana yule wa kigoma angeenda Tanga wa Tanga akaenda Tabora huko n.k...
Hii iliwafanya baadhi ya watu kufurahia na angalau kubadilisha mazingira!
Sasa Mzee baba alivyoingia akapiga marufuku akisema wa Tabora abaki Tabora na WA Mwanza abaki mwanza! Hakuishia hapo na malipo akapunguza! Akidai walimu hiyo ni kazi Yao, hivyo ikibidi wasilipwe chochote! Na Sasa kuanzia pale kazi ikawa Haina morali kwani kazi kubwa, malipo kidogo na masimango juu.
Mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana sababu haswa kwanini Mzee baba aliwachukia wafanyakazi kiasi hiki.
Kila nafsi itaonja mauti,lakini wengine wanatanguliaWewe sema Mungu ni mwema kama utaishi milele muulize membe yupo wapi now
Kwa hiyo mnafurahia kifo cha Magufuli mnaonyesha wanaokufa mapema ni watu wenye dhambi sanaKila nafsi itaonja mauti,lakini wengine wanatangulia
Magufuli alipendwa Kama alivyo chukiwa.kuna wanao mkumbuka kwa mazuri na Kuna wanao mkumbuka kwa mabaya.Kwa hiyo mnafurahia kifo cha Magufuli mnaonyesha wanaokufa mapema ni watu wenye dhambi sana
Na ndiyo sifa ya ubinaadamu,hata mitume nao hawakupendwa na watu wote!!Magufuli alipendwa Kama alivyo chukiwa.kuna wanao mkumbuka kwa mazuri na Kuna wanao mkumbuka kwa mabaya.
Umesoma hoja za mtoa post lakini? Au uliambiwa hao waliokaa Miaka 7 Bila chochote hawakuwa waadilifu?Kama ulikuwa mwadilifu na mfata sheria utamchukia Magufuli kwa lipi?
Yule alikuwa shetani kweli kweliMnaosema eti wanaohoji walikuwa na vyeti feki,
Mmejiuliza baada ya kuwaondoa hao mafisadi na wenye vyeti feki,
Hao waliobaki ambao wana vyeti original pamoja na wale ambao hawana ufisadi wowote aliwafanyia Nini?
Zaidi ya kuwakalisha Miaka 7 Bila chochote?
Yaani ilifikia hatua hata mtumishi ukivaa ukipendeza unaelekea kazini,
Mzee ananuna.,
Kwakweli acha Mungu aitwe Mungu
Duh. Eti ht mwalimu!!Niambie mwalimu anaweza kufanya ufisadi Gani mpaka asiongezewe mshahara